WAZIRI MAVUNDE AMWAGA MISAADA YA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORANA GEREZA KUU ISANGA, LEO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LsXCoIm5WZ4/XrVvASKPfgI/AAAAAAALpgY/IqP5FkRVjG4RK3tTlrST7YEsEt8k-OpbwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3AA-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akizungumza nje ya Gereza akikabidhi vifaa vya kujikinga na janga la corona katika Gereza Kuu Isanga, jijini Dodoma. Mhe. Mavunde amekabidhi msaada uliojumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo sabuni, ndoo za maji pamoja na vitakasa mikono(Sanitizer).
Baadhi ya vifaa hivyo vilivyokabidhiwa katika Gereza Kuu Isanga na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s72-c/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
MBUNGE MAVUNDE AGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 KWA SHULE ZOTE ZA SEKONDARI JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s640/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
Mavunde amekabidhi leo vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 2,000,000 kwa wakuu wa Shule za Sekondari katika eneo la Jiji ya Dodoma ikiwa ni siku ya kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita kurejea tena shuleni baada ya agizo la Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kuhusu kufunguliwa tena kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-azEL92owoJ4/Xrb-nv6PTqI/AAAAAAALpoM/wdZ3V1zEzOcZrvQFlj2Dhp_xu44btlJ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B8.09.20%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE WAKABIDHI VIFAA VYA CORONA VYA SH MILIONI TANO GEREZA LA ISANGA DODOMA
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, mmoja wa Waanzilishi wa mtandao huo, Beatrice Kimoleta amesema hatua hiyo wameifanya ikiwa ni kuunga mkono kwa vitendo juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
“ Mhe....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cYs8pLHNfJk/Xs4gV1hu7cI/AAAAAAALrrc/mvjxL8_n144ZvtcDP7pA3YzVLbDrp5e_ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb67e3af-90ea-438d-b28c-26d9c90f56c0.jpg)
Muwakilishi wa Watanzania waishio Marekani wafanya ziara ya gereza la isanga Dodoma
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYs8pLHNfJk/Xs4gV1hu7cI/AAAAAAALrrc/mvjxL8_n144ZvtcDP7pA3YzVLbDrp5e_ACLcBGAsYHQ/s640/eb67e3af-90ea-438d-b28c-26d9c90f56c0.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VE0IQ-XLvdA/Xm28yDNgAOI/AAAAAAALjr0/YBMXt475_UETE10WBkfQQKd0nmFUsO-3QCLcBGAsYHQ/s72-c/34905567-fbab-41c0-82a3-fbe9250fb020.jpg)
MBUNGE MAVUNDE ASAIDIA UPATIKANAJI WA VIFAA TIBA 100 KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA
KATIKA kuhakikisha anatekeleza azma ya Rais Magufuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua rasmi kambi ya upimaji wa tiba saidizi vya miguu ya bandia kwa watu wenye ulemavu.
Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na huduma hiyo itakua ikitolewa kwa wananchi wote kutoka sehemu mbalimbali za Mkoa wa Dodoma na maeneo jirani.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe Mavunde amesema vifaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_mCGl1u4-zY/Xk07bSJTSlI/AAAAAAALeVY/TXWPtNy-AFohTzGe_kRnMf2ZWbofrcpCACLcBGAsYHQ/s72-c/bv.jpg)
WAZIRI JAFO AZINDUA SHULE YA MSINGI 'MAVUNDE' JIJINI DODOMA
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema mwisho wa wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kwenda shule katika kata ya Nala jijini Dodoma ni mwaka huu kwani kuanzia mwakani hakutakua na changamoto ya madarasani katika shule ya msingi kwenye kata hiyo.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mhe Selemani Jafo wakati akizindua shule shikizi ya msingi ya Chiwondo iliyopo katika Jiji la Dodoma.
Shule hiyo imejengwa kwa msaada wa Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Mhe Anthony...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UWT DODOMA MJINI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KATIKA KITUO CHA WAGONJWA WA UKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrrUHbbsq7c/Xr_hqfZ2CZI/AAAAAAALqc0/MKJBVX74Zpcyg7Pr8HX_MhRlo7_u0IQ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.26.28%2BPM.jpeg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ALIPOKUWA AKIINGIA VIWANJA VYA BUNGE LEO JIJINI DODOMA
5 years ago
MichuziODO UMMY FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA TAASISI ZA DINI JIJINI TANGA
MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia akizungumza wakati akishukuru Taasisi ya Odo Ummy Foundation kwa msaada ndoo 120 na sabuni 60 ikiwemo vifaa vyake vya
kuwekea ndoo hizo ili kuwawezesha kuzitumia katika kuhakikisha wanajikinga na
maambukizi hayo ambayo kwa sasa yamekuwa yakilitikisha dunia katikati
ni Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga
Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga kulia akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMkq7jTEcqE/XnPN9-T8b1I/AAAAAAALke0/XekIKhc-xr8Lm-R_krPzmL9cLR5Sykc2ACLcBGAsYHQ/s72-c/m8.jpg)
MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA
Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...