UWT DODOMA MJINI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KATIKA KITUO CHA WAGONJWA WA UKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Mmoja wa Walemavu wa Ugonjwa wa Ukoma ambao wanaishi katika kituo cha Samaria jijini Dodoma akinawa kwa maji yanayotiririka baada ya Umoja wa Wanawake Tanzania wilaya ya Dodoma Mjini kupitia Katibu wake, Diana Madukwa (mwenye shati la kijani) kukabidhi vifaa vya kujikinga na Corona kwenye kituo hiko.
Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa akionesha baadhi ya vifaa vya kujikinga na Corona na vyakula ambavyo UWT imepeleka kama msaada kwenye kituo cha Samaria wanapoishi watu wenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-GVCjpZVforM/XtUQpeNXfPI/AAAAAAAA47E/euswCQYz7Bk27j_rTf4sLJdJNirDKIxxACNcBGAsYHQ/s72-c/9.jpeg)
HUHESO FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KAHAMA
![](https://4.bp.blogspot.com/-GVCjpZVforM/XtUQpeNXfPI/AAAAAAAA47E/euswCQYz7Bk27j_rTf4sLJdJNirDKIxxACNcBGAsYHQ/s640/9.jpeg)
Shirika la Huheso Foundation lenye makao yake Malunga Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limetoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Maambukizi ya virusi vya Corona vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne katika halmashauri ya Mji wa Kahama.
Akikabidhi vifaa hivyo leo Jumatatu Juni 1,2020 kwa Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha, Mkurugenzi wa shirika la Huheso Foundation na Huheso Fm Radio Bw. Juma Mwesigwa amesema vifaa hivyo ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na...
5 years ago
CCM BlogBARRICK BUZWAGI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 48
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
MichuziODO UMMY FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA TAASISI ZA DINI JIJINI TANGA
MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia akizungumza wakati akishukuru Taasisi ya Odo Ummy Foundation kwa msaada ndoo 120 na sabuni 60 ikiwemo vifaa vyake vya
kuwekea ndoo hizo ili kuwawezesha kuzitumia katika kuhakikisha wanajikinga na
maambukizi hayo ambayo kwa sasa yamekuwa yakilitikisha dunia katikati
ni Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga
Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga kulia akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA GROUP YA HAPPY HANDS YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA MADAKTARI NA WAUGUZI VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Andalusia na Group ya Happy Hands Zainab Bunamay (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia mjema wenye dhamani ya Sh. Milioni Saba uliotole kwa niaba ya Taasisi hiyo vikiwemo vifaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1doY2Eku0Uk/XrEKuSmSoXI/AAAAAAALpKE/pgXRUzdHCncSbRGq02ZL8fzpCD7t5CWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/72609f15-87bb-4a65-a319-f9ffb3677353.jpg)
DC MBARALI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA
KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Mkoani Mbeya (TALGWU) wametoa misaada ya vifaa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Ruben Mfune.
Vifaa vilivyotolewa na Chama hicho ni pamoja na Kipima joto, Vitakasa mikono Lita 10, Vidonge vya Klorini 500 na Barakoa zipatazo 150, huku wakiwaomba wadau wengine kujitokeza kuchangia vifaa hivyo.
Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo, DC Mfune...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s72-c/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
Vodacom yatoa vitanda vya wagonjwa Kituo cha Afya Chipanga Chapokea Wilayani Bahi
![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s1600/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hDeCAzjnbJQ/U2edOH6Br2I/AAAAAAAFfs4/khEdrbSkx_4/s1600/MAMA+MJAMZITO+AKILIA+KWA+FURAHA+YA+MSAADA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)