Vodacom yatoa vitanda vya wagonjwa Kituo cha Afya Chipanga Chapokea Wilayani Bahi
![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s72-c/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma Betty Mkwassa (wa ttau kushoto) akipokea moja ya vitanda 9 kutoka kwa Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati Mruta Hamisi vilivyotolewa na mfuko wa kampuni hiyo wa kusaidia jamii (Vodacom Foundation) kwa ajili ya wodi ya wanawake katika kituo cha afya cha kijiji cha Chipanga.Kampuni ya Vodacom imejikita katika kusaidia uboreshaji wa huduma za afya hasa kwa wanawake na watoto chini ya mpango wake wa uwajibikaji kwa jamii.
Mama mjamzito Vailet Petro ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UWT DODOMA MJINI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KATIKA KITUO CHA WAGONJWA WA UKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrrUHbbsq7c/Xr_hqfZ2CZI/AAAAAAALqc0/MKJBVX74Zpcyg7Pr8HX_MhRlo7_u0IQ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.26.28%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yasaidia wanafunzi Ukerewe, yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s640/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OEyrRKU7lUI/VUx2po2uLDI/AAAAAAAA1sE/96UT9aILrwk/s640/01.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA MARADHI YA KIPIDUPINDU KATIKA KITUO CHA AFYA KARAKANA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s72-c/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO CHA AFYA CHA MAPERA KIMEPATA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s640/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO cha Afya Mapera kilichopo katika Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma, kimepata gari la wagonjwa(Ambulance) iliyonunuliwa na Halmashauri hiyo ili kurahisisha usafiri kwa wagonjwa watakohitaji na kupewa rufaa kwenda Hospitali ya wilaya Mbinga na Rufaa ya mkoa Songea.
Akikabidhi gari hilo kwa Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Mapera,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Juma Mnwele alisema, gari hilo limetokana na ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Maiti zalazwa vitanda vya wagonjwa Kyerwa