MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, Mhe. David Kafulila akihakikisha vitanda vilivyotolewa na mfuko wa jimbo lake katika kituo cha afya cha Nguruka, vinafungwa vyema.
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza Kutekeleza Ahadi Zake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kwa Ujenzi wa Ukuta Kituo cha Afya Chumbuni
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Abaas Mwinyi Atimiza Ahadi Zake kwa Kituo cha Afya Fuoni kwa Kukabidhi Dawa na Masinki ya Vyoo kwa Kituo Hicho.
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA FUONI ZANZIBAR ATIMIZA AHADI ZAKE KWA KITUO CHA AFYA FUONI.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s72-c/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
Vodacom yatoa vitanda vya wagonjwa Kituo cha Afya Chipanga Chapokea Wilayani Bahi
![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s1600/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hDeCAzjnbJQ/U2edOH6Br2I/AAAAAAAFfs4/khEdrbSkx_4/s1600/MAMA+MJAMZITO+AKILIA+KWA+FURAHA+YA+MSAADA.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wake kwa ujenzi wa ukuta kituo cha Afya Chumbuni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
10 years ago
MichuziMSAADA WA MATIBABU KWA NDUGU SELEMANI RASHIDI MKAZI WA KITONGOJI CHA LUGONGONI (A) NGURUKA MKOA WA KIGOMA
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA ALIZOWAKATIA WAZEE KITUO CHA BUSANDA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga,Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi kadi za Bima ya afya iliyoboreshwa (ICHF) alizowakatia wazee 17 waliopo kituo cha kulelea Wazee cha Busanda kilichopo halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili wapate huduma za afya bila usumbufu.
Mhe. Azza amekabidhi kadi hizo za bima ya afya leo Ijumaa Mei 8,2020 alizoahidi kuwalipia alipofika katika kituo hicho Oktoba 5,2019 akiwa ameambatana Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kusherehekea Siku ya...