Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSAADA WA MATIBABU KWA NDUGU SELEMANI RASHIDI MKAZI WA KITONGOJI CHA LUGONGONI (A) NGURUKA MKOA WA KIGOMA

Selemani Rashidi (kushoto), akiwa na mama yake mzazi pichani, ambaye alisimulia mkasa mzima wa mwanaye, alizaliwa akiwa mzima na baada ya kuzaliwa alipatwa na matatizo ya ugonjwa wa Degedege na alimpeleka kwa mganga wa kienyeji na kupona matatizo hayo na ndipo kikaota kipele kichwani cheusi na kikawa kinakuwa na kushikana na sikio, kutokuwa na uwezo wa kipesa hakuweza mpeleka popote, Baba yake yapata Miaka kumi na tano toka afariki na ukizingatia ni pesa inayo hitajika, hayo yalisemwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, Mhe. David Kafulila akihakikisha vitanda vilivyotolewa na mfuko wa jimbo lake katika kituo cha afya cha Nguruka, vinafungwa vyema.
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa  Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA TANGA LAMSHIKILIA MKAZI WA KIJIJI CHA KIGOMBE KWA KUINGIZA BIDHAA ZA MAGENDO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP) Blasius Chatanda akizungumza na waandishi wa habari ambao hawapo pichani kuhusu operesheni walioiendesha ya kupambana na biashara haramu za magendo.Sehemu ya waandishi wa habari Jijini Tanga wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye mkutano huo
JESHI la Polisi Mkoani Tanga linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Kigombe Kata ya Kigombe wilayani Muheza mkoani Tanga ambaye aliyeshirikiana na wenzake ambao walikimbia wakiwa...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA

   Jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma.  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa NHIF, Michael Mhando akizungumza wakati wa makabidhiano ya  kituo cha kisasa...

 

9 years ago

Michuzi

DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI KWENYE VIWANJA VYA SHULE YA NGURUKA KIGOMA LEO

 Aliyekuwa Diwani wa NCCR- Mageuzi na mjumbe wa Halmashauri, Yusuf Nyamgenda ajiunga na CCM leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni kwenye viwanja vya Shule ya msingi Nguruka Mkoani Kigoma.  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Pombe Magufuli akihutubia leo asubuhi katika mkutano wa hadhara wa kampeni kwenye viwanja vya Shule ya msingi Nguruka Mkoani Kigoma. Wananchi waliokusanyika kumsikiliza  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

 

5 years ago

Michuzi

NDIKILO APOKEA MSAADA WA SABUNI KUTOKA KEDS ZINAZOPELEKWA KITUO CHA MATIBABU YA COVID19 KIBAHA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Mhandisi Evaristi Ndikilo amepokea msaada wa mifuko  40 ya sabuni kwa ajili ya kituo cha matibabu ya Wagojwa wa COVID 19  ambayo ni Hospitali ya Wilaya ya Kibaha Mjini.
Msaada huo umetolewa na kampuni ya KEDS Group Limited ,ikiwa ni jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali kuendelea kupambana na ugonjwa wa corona .
Akipokea Msaada huo ,Mhandisi Ndikilo aliishukuru Kampuni ya KEDS Group Limited na kusema kwani sabuni hizo zitatumika...

 

11 years ago

Michuzi

Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)

   Pichani ni Mtoto Maimuna Yahaya  Mtoto Maimuna Yahaya akiwa na Mama yake Mzazi  Tunu Juma  **********************
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...

 

9 years ago

Michuzi

MSAADA WA MATIBABU UNAHIDAJIKA KWA DADA HUYU

Habari kaka,
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo mkazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambayo hata hivyo haikusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya raufaa mkoani Mbeya ambako alikaa kwa miezi mitatu bila kupata...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu Mkazi wa UN nchini na Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi watembelea eneo la mapokezi ya muda kwa Wakimbizi mjini Kigoma

IMG_0495

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (wa tatu kushot0) pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (katikati), Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (wa pili kulia), Mkuu wa ofisi ya Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani