MSAADA WA MATIBABU KWA NDUGU SELEMANI RASHIDI MKAZI WA KITONGOJI CHA LUGONGONI (A) NGURUKA MKOA WA KIGOMA
Selemani Rashidi (kushoto), akiwa na mama yake mzazi pichani, ambaye alisimulia mkasa mzima wa mwanaye, alizaliwa akiwa mzima na baada ya kuzaliwa alipatwa na matatizo ya ugonjwa wa Degedege na alimpeleka kwa mganga wa kienyeji na kupona matatizo hayo na ndipo kikaota kipele kichwani cheusi na kikawa kinakuwa na kushikana na sikio, kutokuwa na uwezo wa kipesa hakuweza mpeleka popote, Baba yake yapata Miaka kumi na tano toka afariki na ukizingatia ni pesa inayo hitajika, hayo yalisemwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA TANGA LAMSHIKILIA MKAZI WA KIJIJI CHA KIGOMBE KWA KUINGIZA BIDHAA ZA MAGENDO
JESHI la Polisi Mkoani Tanga linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Kigombe Kata ya Kigombe wilayani Muheza mkoani Tanga ambaye aliyeshirikiana na wenzake ambao walikimbia wakiwa...
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cVqt3bHnET0/VfksXPwajEI/AAAAAAAH5QI/3aiNdZOBqI8/s72-c/IMG-20150916-WA0037.jpg)
DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI KWENYE VIWANJA VYA SHULE YA NGURUKA KIGOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cVqt3bHnET0/VfksXPwajEI/AAAAAAAH5QI/3aiNdZOBqI8/s640/IMG-20150916-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lh447t3dU-s/VfksXKnKRxI/AAAAAAAH5QM/tBiwhioHOcU/s640/IMG-20150916-WA0030.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--uxTMPvFkNU/VfksW9ljjyI/AAAAAAAH5QE/wFzj5hTgm4k/s640/IMG-20150916-WA0032.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VewKxrLxXeI/Xpf6sm9URCI/AAAAAAALnH4/izS_HfZB6UsaDn-IWOetlL85liTftLEUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0022.jpg)
NDIKILO APOKEA MSAADA WA SABUNI KUTOKA KEDS ZINAZOPELEKWA KITUO CHA MATIBABU YA COVID19 KIBAHA
MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Mhandisi Evaristi Ndikilo amepokea msaada wa mifuko 40 ya sabuni kwa ajili ya kituo cha matibabu ya Wagojwa wa COVID 19 ambayo ni Hospitali ya Wilaya ya Kibaha Mjini.
Msaada huo umetolewa na kampuni ya KEDS Group Limited ,ikiwa ni jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali kuendelea kupambana na ugonjwa wa corona .
Akipokea Msaada huo ,Mhandisi Ndikilo aliishukuru Kampuni ya KEDS Group Limited na kusema kwani sabuni hizo zitatumika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s1600/IMG-20140609-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RxKspd_dV0A/U5VWqrNFWkI/AAAAAAAAV7w/aL8RXx_2ZVc/s1600/IMG-20140609-WA0002.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s72-c/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
MSAADA WA MATIBABU UNAHIDAJIKA KWA DADA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s640/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo mkazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambayo hata hivyo haikusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya raufaa mkoani Mbeya ambako alikaa kwa miezi mitatu bila kupata...
10 years ago
Dewji Blog30 May
Mratibu Mkazi wa UN nchini na Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi watembelea eneo la mapokezi ya muda kwa Wakimbizi mjini Kigoma
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (wa tatu kushot0) pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (katikati), Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (wa pili kulia), Mkuu wa ofisi ya Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia...