Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Pichani ni Mtoto Maimuna Yahaya
Mtoto Maimuna Yahaya akiwa na Mama yake Mzazi Tunu Juma
**********************
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo.
Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMy2L4jbYz4/U5YZdymwLtI/AAAAAAAFpW8/ivtuCN6WlMw/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Ei1ebpjSODD_QN8iVoRZqs6knggIPt9-9qwHlltd6ffrdDafQhIS1v8zJbLP5sjz9pGC48t4k9H9C9Vj-DuFoOfzfvkJD-SXL7luwGBQ0UxKSlgKkpAdY-H4ZoKidLBnJ2vQWt9ELQ8_aL-x4E1G5vVrysjVq3EUWeR6wx6ElaD5VhfRZ6KDaHBJ4UEzR28cEV2zjyw6CmDhRkmnG_vXu6JO6snRexGRM7NJHTk2b_YmyBnbHbvVqwK4JYbrmZJJPKRHJcBqHJqtdEJha3zqtd8y5C0U51qnb6kbw2FbgozPKnt1G_CvfmVfZcv9EG4tjvisc5N3PrvNdvdOe4EtcVHqNK4XiuuH_9Xs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-RxKspd_dV0A%2FU5VWqrNFWkI%2FAAAAAAAAV7w%2FaL8RXx_2ZVc%2Fs1600%2FIMG-20140609-WA0002.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_103939.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_103939.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu
Sophia Abdul (14)
Na Amon Mtega – Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s72-c/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s72-c/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
MSAADA WA MATIBABU UNAHIDAJIKA KWA DADA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-OQgcBqx8JZs/VkmD40keuPI/AAAAAAAIGHU/1Gp1PrPgK14/s640/IMG_20151112_170929%255B1%255D.jpg)
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo mkazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambayo hata hivyo haikusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya raufaa mkoani Mbeya ambako alikaa kwa miezi mitatu bila kupata...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5wUz0Axo-yo/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Msaada wa wasamaria wema wa matibabu unahitajika kwa dada huyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aIxK9GFfgIY/VkosddaDbYI/AAAAAAAIGSI/Oa0qJzpNdRM/s640/22c86c9949965ef8a85ff0688d6eb0e0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmf9gazYijc/VkosiXb3-HI/AAAAAAAIGSQ/HPWbd_gLJpk/s640/af211d441b4e6718d9223f73fe6e1855.jpg)
Ndugu Wasamaria wema
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye, na migu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.![](http://3.bp.blogspot.com/-anCSjNjqRuE/Vkoskduw2oI/AAAAAAAIGSY/BxDRsz-3UcE/s400/3388d5f0cc00b03c5a2738f8c17401c3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s72-c/New%2BPicture.png)
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s640/New%2BPicture.png)
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...