OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s72-c/New%2BPicture.png)
Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5wUz0Axo-yo/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Wema Sepetu Anahita Msaada Wako wa Hali na Mali
Uongozi ni utumishi. Naamini kama kijana nina uwezo wa kutumikia vijana wenzangu, mama zangu na nchi yangu kwa ujumla. Hili jukumu langu na letu sote.
Nimeamua kwa dhati kuwatumikia wananchi wa Singida na nchi yangu kwa ujumla endapo nitachaguliwa na chama changu.
Ili nifanikiwe katika hili nahitaji mchango wenu wa mawazo, hali na mali. Najua kila mmoja ana mchango wake katika kulifanikisha hili.
Naomba nitumie nafasi hii kuwaombeni wote michango yenu bila kujali itikadi, jinsia, umri au...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kw5J-iI_eBE/VEdb9emM7bI/AAAAAAAGslw/b_MA8f6-pGM/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Mdau Aron Sondi aunguliwa na nyumba kigamboni, Dar es salaam. Anaomba msaada wa hali na mali asitirike
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kw5J-iI_eBE/VEdb9emM7bI/AAAAAAAGslw/b_MA8f6-pGM/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dU-gwrexTn8/VEdc3kVQJiI/AAAAAAAGsmg/F4536V_G5Uc/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_8CxC9td_vg/VEdb-XHPOVI/AAAAAAAGsl4/YTjI637urH8/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M5haKCSKP8Q/VEdcDDG_nTI/AAAAAAAGsmI/GjpSAhKCSUE/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bljWIcSMWRA/VEdcb1z_moI/AAAAAAAGsmY/Sy6vtL8k1Qk/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvAtrVYA-bu*RsxL*WspWUQCDfTDOHRnZK1nFdUru6eCEwr3*0VsHACsEfMHszrndQoG7MloMOVDJ9tFQ0tb53y/BiCheka.jpg)
BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO
9 years ago
Vijimambo05 Sep
TUMSAIDIE NATALIA ANAHITAJI MSAADA WAKO
![](https://2dbdd5116ffa30a49aa8-c03f075f8191fb4e60e74b907071aee8.ssl.cf1.rackcdn.com/5347662_1440352291.0817.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMy2L4jbYz4/U5YZdymwLtI/AAAAAAAFpW8/ivtuCN6WlMw/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Ei1ebpjSODD_QN8iVoRZqs6knggIPt9-9qwHlltd6ffrdDafQhIS1v8zJbLP5sjz9pGC48t4k9H9C9Vj-DuFoOfzfvkJD-SXL7luwGBQ0UxKSlgKkpAdY-H4ZoKidLBnJ2vQWt9ELQ8_aL-x4E1G5vVrysjVq3EUWeR6wx6ElaD5VhfRZ6KDaHBJ4UEzR28cEV2zjyw6CmDhRkmnG_vXu6JO6snRexGRM7NJHTk2b_YmyBnbHbvVqwK4JYbrmZJJPKRHJcBqHJqtdEJha3zqtd8y5C0U51qnb6kbw2FbgozPKnt1G_CvfmVfZcv9EG4tjvisc5N3PrvNdvdOe4EtcVHqNK4XiuuH_9Xs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-RxKspd_dV0A%2FU5VWqrNFWkI%2FAAAAAAAAV7w%2FaL8RXx_2ZVc%2Fs1600%2FIMG-20140609-WA0002.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
KwanzaJamii30 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Anahitaji msaada wako: Aron Sondi aunguliwa na nyumba Kigamboni
BWANA Aron Sondi anayeishi Kigamboni jijini Dar es Salaam, ameunguliwa na nyumba na kupoteza mali na vitu vyote jana jioni.
Tunaomba michango ya hali na mali iwasilishwe kupitia namba ya Aron Sondi: 0763210530 au kupitia Tigo pesa ya mke wake Sara Obel: 0713560844.
Asante sana na mbarikiwe. Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio la ajali hiyo ambapo moto unaosadikiwa kutokea jikoni umetekeza nyumba yote na mali za familia hiyo.
Sehemu ya nyuma ya nyumba wakati moto ukiwa umetanda...