Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anahitaji msaada wako: Aron Sondi aunguliwa na nyumba Kigamboni

BWANA Aron Sondi anayeishi Kigamboni jijini Dar es Salaam, ameunguliwa na nyumba na kupoteza mali na vitu vyote jana jioni.

unnamed

Tunaomba michango ya hali na mali iwasilishwe kupitia namba ya Aron Sondi: 0763210530 au kupitia Tigo pesa ya mke wake Sara Obel: 0713560844.

Asante sana na mbarikiwe. Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio la ajali hiyo ambapo moto unaosadikiwa kutokea jikoni umetekeza nyumba yote na mali za familia hiyo.

unnamed (1)

unnamed (2)

unnamed (3)

unnamed (4)

unnamed (5)

unnamed (6)

Sehemu ya nyuma ya nyumba wakati moto ukiwa umetanda...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mdau Aron Sondi aunguliwa na nyumba kigamboni, Dar es salaam. Anaomba msaada wa hali na mali asitirike

Mdau  Aron Sondi anayeishi Kigamboni jijini Dar es Salaam, ameunguliwa na nyumba na kupoteza mali na vitu vyote jana jioni. Familia inaomba michango ya hali na mali ili kumsitiri mweneztu huyu. Michango iwasilishwe kupitia namba ya Aron Sondi:0763210530 au kupitia Tigo pesa ya mke wake Sara Obel: 0713560844.Asante sana na mbarikiwe. Hizi ni taswira mbalimbali za tukio la ajali hiyo ambapo moto unaosadikiwa kutokea jikoni umetekeza nyumba yote na mali za familia hiyo.


Sehemu ya nyuma ya nyumba...

 

10 years ago

GPL

BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka hivi sasa ni mgonjwa. Anahitaji matibabu na huduma muhimu kutokana na umri wake mkubwa (ana miaka 55). Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka. Hali yake kimaisha ni mbaya, kwani anaishi katika kibanda cha udongo, yeye na wajukuu zake. Global Publishers inaendesha harambee hii ili aweze angalau kujenga kibanda cha bati na kupata matibabu. Mchangie chochote ulichonacho, iwe 500, 1000,...

 

9 years ago

Vijimambo

TUMSAIDIE NATALIA ANAHITAJI MSAADA WAKO

My name is Natalia. I am a MN resident. In 2008 I began feeling sick with pain everywhere. I went to see different doctors none of which could determine what was wrong with me. As time passed without diagnosis or treatment the pain became so severe almost disabling me physically. I was confined to my bed. It was difficult as i had no help. As sick as i was, God enabled be to have a strong heart and mind set. I was able to drag myself to the kitchen to make poridge and milk. That is all i ate...

 

11 years ago

Michuzi

Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako

 Mtoto Maimuna Yahaya akiwa  na Mama yake Mzazi  Tunu Juma.  Msaada unahitajika kwa ajili ya matibabu ya mtoto Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum  ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili. Yeye anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo.

Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu Juma Maziku amesema amekuwa akimpeleka mwanae huyo Maimuna...

 

10 years ago

Michuzi

OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.


Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni

Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba ncini Tanzania Mhe. Nehemia Mchechu (wakwanza kushoto), watatu kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai Mhe. Ali Rashid Ahmed Lootah, wapili kutoka kulia ni Bwa. Issack Peter, na wakwanza kutoka kulia ni Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga, watembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu za Kigamboni zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mapema leo asubuhi jijini Dar es salaam. Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa Mhe....

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA MTANZANIA MWENZETU ANAHITAJI MSAADA MINNESOTA NCHINI MAREKANI

Mchungaji Anastasia (phD) aliugua akiwa Usariver Arusha kwa muda wa wiki kadhaa kabla ya kulazwa Hospitalini Seliani pale

Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September

2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,

Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada

Na Albano Midelo MTOTO Alois Milinga pichani  mwenye kipaji cha kukariri Biblia anahitaji msaada wa sh. 300,000 ili aweze kukamilisha masomo ya kidato cha nne mwaka huu. Mtoto huyo mwenye uwezo wa kukariri Biblia neno kwa neno anasoma katika shule ya sekondari ya Mbesa iliyopo wilayani Tunduru mkoani Ruvuma  mwaka huu anatarajia kumaliza kidato cha nne. Hata hivyo amekosa fedha za kumalizia ada pamoja na michango mingine ambayo inahitajika katika shule hiyo kutokana na mzazi wake mama yake...

 

9 years ago

Michuzi

TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA


Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba  zimebana kiasi  hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani