TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMy2L4jbYz4/U5YZdymwLtI/AAAAAAAFpW8/ivtuCN6WlMw/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Ei1ebpjSODD_QN8iVoRZqs6knggIPt9-9qwHlltd6ffrdDafQhIS1v8zJbLP5sjz9pGC48t4k9H9C9Vj-DuFoOfzfvkJD-SXL7luwGBQ0UxKSlgKkpAdY-H4ZoKidLBnJ2vQWt9ELQ8_aL-x4E1G5vVrysjVq3EUWeR6wx6ElaD5VhfRZ6KDaHBJ4UEzR28cEV2zjyw6CmDhRkmnG_vXu6JO6snRexGRM7NJHTk2b_YmyBnbHbvVqwK4JYbrmZJJPKRHJcBqHJqtdEJha3zqtd8y5C0U51qnb6kbw2FbgozPKnt1G_CvfmVfZcv9EG4tjvisc5N3PrvNdvdOe4EtcVHqNK4XiuuH_9Xs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-RxKspd_dV0A%2FU5VWqrNFWkI%2FAAAAAAAAV7w%2FaL8RXx_2ZVc%2Fs1600%2FIMG-20140609-WA0002.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
KwanzaJamii30 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_103939.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_103939.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s72-c/New%2BPicture.png)
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s640/New%2BPicture.png)
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HiEYkhZdGKP1RM8lp7CI4yLA5*uGrV2VhvvKZJ1j7NDL6E0vLkyZSgo-fFidWQs7eOclJb5gf1xbjcbF3WHmNA7/WEMASEPETA_GLOBALNEWSROOM18.jpg?width=650)
WEMA ANAHITAJI KUOMBEWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvAtrVYA-bu*RsxL*WspWUQCDfTDOHRnZK1nFdUru6eCEwr3*0VsHACsEfMHszrndQoG7MloMOVDJ9tFQ0tb53y/BiCheka.jpg)
BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO