Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA


Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba  zimebana kiasi  hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA

WANAWAKE wengi duniani bado wananyanyaswa kijinsia kwa sababu za kijamii, kiuchumi na kipato licha ya kuwepo kwa elimu kuhusu haki zao.

Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza. 


KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India

Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba  zimebana kiasi  hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.

Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.

Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...

 

11 years ago

Michuzi

Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako

 Mtoto Maimuna Yahaya akiwa  na Mama yake Mzazi  Tunu Juma.  Msaada unahitajika kwa ajili ya matibabu ya mtoto Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum  ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili. Yeye anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo.

Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu Juma Maziku amesema amekuwa akimpeleka mwanae huyo Maimuna...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada

Na Albano Midelo MTOTO Alois Milinga pichani  mwenye kipaji cha kukariri Biblia anahitaji msaada wa sh. 300,000 ili aweze kukamilisha masomo ya kidato cha nne mwaka huu. Mtoto huyo mwenye uwezo wa kukariri Biblia neno kwa neno anasoma katika shule ya sekondari ya Mbesa iliyopo wilayani Tunduru mkoani Ruvuma  mwaka huu anatarajia kumaliza kidato cha nne. Hata hivyo amekosa fedha za kumalizia ada pamoja na michango mingine ambayo inahitajika katika shule hiyo kutokana na mzazi wake mama yake...

 

5 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI


NA  YEREMIAS  NGERANGERA…NAMTUMBOMtoto mwenye umri wa miaka  tisa na mwanafunzi wa darasa la tatu  katika shule ya msingi Likuyuseka wilayani Namtumbo  mkoani Ruvuma Jeska James Kifaru anaomba kutoka kwa wasamaria wema kumsaidia mchango wa fedha ili aweze  kwenda matibabu ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili  baada ya wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumfikisha katika hospitali hiyo.Akiongea akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  Jeska alisema anaomba msaada kwa...

 

10 years ago

Michuzi

OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.


Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...

 

11 years ago

GPL

WEMA ANAHITAJI KUOMBEWA

'Baby' wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu akiwa pekupeku baada ya kupandisha mori! NAJUA nitawakera wengi sana kwa kuandika habari zinazomhusu Wema Sepetu, msichana mwenye jina kubwa Bongo, lisilofanana na kazi anayoifanya, kwa sababu wapo wanaompenda sana na wengine wamechoshwa naye. Wema akiwa ndani ya News Room akimtafuta mwandishi wa Global… ...

 

10 years ago

GPL

BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka hivi sasa ni mgonjwa. Anahitaji matibabu na huduma muhimu kutokana na umri wake mkubwa (ana miaka 55). Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka. Hali yake kimaisha ni mbaya, kwani anaishi katika kibanda cha udongo, yeye na wajukuu zake. Global Publishers inaendesha harambee hii ili aweze angalau kujenga kibanda cha bati na kupata matibabu. Mchangie chochote ulichonacho, iwe 500, 1000,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani