WEMA ANAHITAJI KUOMBEWA
![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HiEYkhZdGKP1RM8lp7CI4yLA5*uGrV2VhvvKZJ1j7NDL6E0vLkyZSgo-fFidWQs7eOclJb5gf1xbjcbF3WHmNA7/WEMASEPETA_GLOBALNEWSROOM18.jpg?width=650)
'Baby' wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu akiwa pekupeku baada ya kupandisha mori! NAJUA nitawakera wengi sana kwa kuandika habari zinazomhusu Wema Sepetu, msichana mwenye jina kubwa Bongo, lisilofanana na kazi anayoifanya, kwa sababu wapo wanaompenda sana na wengine wamechoshwa naye. Wema akiwa ndani ya News Room akimtafuta mwandishi wa Global… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Magufuli kuombewa Uingereza
Rais John Pombe Magufuli.
Na Gabriel Ng’osha
KASI ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ inazidi kuwashangaza wengi ambapo wachungaji wa Kanisa la Calvary Charismatic Baptist Church Swahili Service la jijini London, Uingereza wameamua kumfanyia maombi maalumu Jumatatu ijayo.
Maombi hayo yamepangwa kufanyika katika kanisa hilo lililopo 119 East India, Dock Road Poplar London EI46DE, huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini humo, Msafiri Marwa na yataongozwa na kiongozi...
10 years ago
Habarileo21 Aug
Harambee kuombewa kibali Ikulu
MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Samia ataka nchi kuzidi kuombewa
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina utajiri mkubwa unaoangaliwa na watu wa mataifa mbalimbali hivyo kuwaomba viongozi wa dini kuwaombea ili wapate viongozi watakaouangalia utajiri wa Tanzania kwa ajili ya Watanzania wenyewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvAtrVYA-bu*RsxL*WspWUQCDfTDOHRnZK1nFdUru6eCEwr3*0VsHACsEfMHszrndQoG7MloMOVDJ9tFQ0tb53y/BiCheka.jpg)
BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Rais Kikwete anahitaji uthubutu
RAIS Jakaya Kikwete juzi alisema serikali imeubaini mtandao wa ujangili unaojumuisha watu 40, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha. Akihojiwa juzi jioni na Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Rais Kikwete alikanusha...
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika
9 years ago
Vijimambo05 Sep
TUMSAIDIE NATALIA ANAHITAJI MSAADA WAKO
![](https://2dbdd5116ffa30a49aa8-c03f075f8191fb4e60e74b907071aee8.ssl.cf1.rackcdn.com/5347662_1440352291.0817.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Mtanzania anahitaji sh 869 kwa siku
IMEBAINIKA kuwa kila Mtanzania anahitaji sh 869.5 kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya chakula kila siku ikilinganishwa na sh 414.8 mwaka 2007. Hayo yalisemwa na Waziri wa Fedha na Uchumi,...