Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia ataka nchi kuzidi kuombewa

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina utajiri mkubwa unaoangaliwa na watu wa mataifa mbalimbali hivyo kuwaomba viongozi wa dini kuwaombea ili wapate viongozi watakaouangalia utajiri wa Tanzania kwa ajili ya Watanzania wenyewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Taboa yaonya ajali kuzidi kutikisa nchi

Chama cha wamiliki wa mabasi (Taboa),kimeonya ajali kuendelea kutikisa nchi, kama Trafiki hawatazinduka na kudhibiti uchakachuaji katika utoaji wa leseni daraja C kwa madereva wa mabasi.

 

9 years ago

Habarileo

Samia ataka Zanzibar iombewe kupata mwafaka

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewaomba viongozi wa dini kuiombea Zanzibar ili dosari zilizojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu zipatiwe mwafaka wa kiungwana.

 

9 years ago

Mtanzania

Samia: Hatuwapi wapinzani nchi

Pg 2 sept 22NA SARAH MOSSI, MKINGA

MGOMBEA mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema chama hicho hakiwezi kutoa nchi kwa chama cha upinzani ambacho hakijajipanga.

Samia, alisema hayo jana wilayani hapa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Duga Maforoni na kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mahadhi Juma Maalim.

Alisema wapinzani hawakujipanga kuongoza nchi, na kwamba hata wakati...

 

9 years ago

Global Publishers

Magufuli kuombewa Uingereza

pombeRais John Pombe Magufuli.

Na Gabriel Ng’osha
KASI ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ inazidi kuwashangaza wengi ambapo wachungaji wa Kanisa la Calvary Charismatic Baptist Church Swahili Service la jijini London, Uingereza wameamua kumfanyia maombi maalumu Jumatatu ijayo.

Maombi hayo yamepangwa kufanyika katika kanisa hilo lililopo 119 East India, Dock Road Poplar London EI46DE, huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini humo, Msafiri Marwa na yataongozwa na kiongozi...

 

11 years ago

GPL

WEMA ANAHITAJI KUOMBEWA

'Baby' wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu akiwa pekupeku baada ya kupandisha mori! NAJUA nitawakera wengi sana kwa kuandika habari zinazomhusu Wema Sepetu, msichana mwenye jina kubwa Bongo, lisilofanana na kazi anayoifanya, kwa sababu wapo wanaompenda sana na wengine wamechoshwa naye. Wema akiwa ndani ya News Room akimtafuta mwandishi wa Global… ...

 

10 years ago

Habarileo

Harambee kuombewa kibali Ikulu

MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...

 

10 years ago

Habarileo

Askofu ataka waumini kuombea nchi amani

John MwelaASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.

 

9 years ago

Michuzi

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan, na Rais Mstaafu wa awamu ya Tano, Dkt. Jakaya Kikwete, wakiangalia moja ya Ndege ya Kivita ya mfano, wakati walipotembelea Mabanda ya maonesho ya Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana.  Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo Dec 5, 2015.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani