Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s640/_MG_3326.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X4-_THewSc/VcW2rqCVoKI/AAAAAAAC9ck/UxO4hIOghF4/s640/_MG_3338.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s72-c/unnamed+(14).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA NISHATI KWA NCHI ZA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ITa1bi0FTN8/U5J05-RvVmI/AAAAAAAFoQo/UFP_VQ6uRVo/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji wa nchi 5 za Afrika Mashariki
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akitoa taarifa ya mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na wakuu wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na Marais wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Akitoa taarifa ya mkutano huo Mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s72-c/unnamed.jpg1.jpg)
NEWS ALERT: TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAWEKEZAJI NA MARAIS WA NCHI 5 ZA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s1600/unnamed.jpg1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7xWjTRdB_8/VRB18gDheJI/AAAAAAAHMls/A3SYM6P0VhE/s1600/unnamed.jpg2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Po8S4dQcSBs/VZqQUpEqr3I/AAAAAAAHnUQ/NaMufzfps3k/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
TANZANIA KUWA NCHI YA HESHIMA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA KATI YA AFRIKA NA UBELGIJI APRILI 2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-Po8S4dQcSBs/VZqQUpEqr3I/AAAAAAAHnUQ/NaMufzfps3k/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi Bonanza la Maveteran wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Aprili 4-5, mwaka huu
Mwenyekiti wa Klabu ya Maveteran, Mussa Kisoky (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya Bonanza hilo la Maveteran wa Afrika Mashariki hiyo Aprili 4 hadi 5, mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Mtemi Ramadhani na kwa upande wa kulia ni, Lawarence Mwalusako, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Idara habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam (Picha na Andrew Chale).
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
RAIS wa Jamhuri ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IqC97l29FIU/VRA6W2MSwGI/AAAAAAAHMgo/6E9Z_l_Z8h0/s72-c/DSC_0973.jpg)
TANZANIA NI NCHI YA SITA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA WATU WENYE UGONJWA WA KIFUA KIKUU BARANI AFRIKA
Utafiti unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya vifo vya watu walioathirika na Ukimwi vinatokana na Ugomjwa wa Kifua Kukuu na inakadiriwa kuwa tangu kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi, kati ya asilimia tano (5) hadi 10 ya watu wenye VVU wana ugonjwa wa kifua kikuu na takribani ya asilimia 40 wanaouguwa kifua kikuu wana maambukizo ya VVU.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Donan Mmbando wakati akitangaza maadhimisho ya siku...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s72-c/RTS32VL3.jpg)
LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s400/RTS32VL3.jpg)
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...