MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
Dkt John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa Adinselema uliokuwa ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra shamra na shangwe za hapa na pale.Pichani kulia ni Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mgombea Uraisi wa chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akipokelewa kwa shangwe na shamra shamra kutoka kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM waliokuwa wamekusanyika nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi,alipofika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLTASWILA BAADHI YA MADUKA YA KARIAKOO KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Na Nathaniel Limu,...
9 years ago
Bongo530 Sep
Ben Pol ataja sababu 3 za kuachia wimbo mpya katika kipindi hiki cha uchaguzi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O5eBDP0iXTc/VZuJPU7s5PI/AAAAAAAHncE/zWrzkFStsec/s72-c/MMGL0641.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azungumzia hali ya usalama katika kipindi hiki cha Mikutano ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-O5eBDP0iXTc/VZuJPU7s5PI/AAAAAAAHncE/zWrzkFStsec/s640/MMGL0641.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s72-c/_MG_6453.jpg)
KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s640/_MG_6453.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-69n8_eYeKbU/VaZhKwT1LEI/AAAAAAAC8kA/Ik2GxrZzM5w/s640/_MG_6474.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s72-c/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s1600/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...