Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s72-c/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b698qiANzXk/XmIhrudiThI/AAAAAAALhco/VmfVpFVKmuEUyCFO1sN6uxxqXn2CwTPFACLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-23-53-22.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2YaYe0DlU3o/XszPJ9tWlbI/AAAAAAALriw/O6QtScoyYz8IM0Ol2UYAD6jN8NmYChwRQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/nPNu1QbaJ7w/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s640/_MG_3326.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X4-_THewSc/VcW2rqCVoKI/AAAAAAAC9ck/UxO4hIOghF4/s640/_MG_3338.jpg)
9 years ago
GPL16 Nov
9 years ago
StarTV30 Oct
Wakazi wa Iringa watakiwa kuwa watulivu na kulinda amani
Wakazi wa mkoani Iringa wametakiwa kuwa watulivu kwa kupunguza ushabiki wa kisiasa ili kuepusha vurugu zisizo na msingi na kuufanya mkoa huo kuwa sehemu salama ya kuishi.
Hatua hiyo inatokana na uwepo wa watuhumiwa 50 waliokamatwa kwa madai ya kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi.
Ni kutokana na mvutano uliopo baina ya makundi mawili ya kisiasa juu ya ushindi wa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa- Bi- Amanina...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo
WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dFEDb863k1A/VLgffMpVdlI/AAAAAAAAVnQ/71qv-s-tRmU/s72-c/2.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM ZANZIBAR KUTORUDI NYUMA
Awaambia washikamane kudumisha umojaAwaambia unyonge hautakiwi kwa wana CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-dFEDb863k1A/VLgffMpVdlI/AAAAAAAAVnQ/71qv-s-tRmU/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-duBiv2MkxeU/VLgfpqyeg0I/AAAAAAAAVoI/NZCZ_1H1cAA/s1600/3.jpg)