Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: AZIM DEWJI ASEMA RAIS MAGUFULI NI TUNU YA TAIFA LETU


CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu

Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu

Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.

 

9 years ago

Mwananchi

Baada ya kuapishwa Rais, sasa tutafakari juu ya hekalu la Taifa letu la Tanzania

Baada ya kuapishwa Rais mpya wa awamu ya tano, Dk John Magufuli, kazi iliyobaki ni kulijenga taifa letu. Wengi wanategemea Dk Magufuli, kufanya miujiza. Hawezi kufanya chochote bila msaada wetu, bila ushiriki wa kila Mtanzania, awe wa CCM, upinzani au asiyekuwa na chama.

 

9 years ago

Habarileo

Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli

MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha siasa cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hakufanya makosa na wala hajutii kumnadi Rais John Magufuli kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa sababu alitambua Watanzania wamelamba dume la maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunu za taifa ziongezwe -Vijana

BAADHI ya vijana nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupigania tunu za taifa ziongezwe katika ibara ya kwanza kifungu cha tano. Tunu ambazo wametaka ziongezwe ni ardhi na...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI ASEMA BADO SIKU 12 KUWA RAIS WATtANZANIA

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi kuomba kura za ndiyo katika mkutano wa kampeni mjini Mkuranga, Pwani leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Wasanii wakishangilia wakati Dk Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo la Kibiti, mkoani Pwani leo. Mama mfuasi wa CCM akionesha furaha yake baada ya kumuona Dk Magufuli  wakati msafara wake uliposimamishwa na wananchi katika Kijiji cha Mbwemkulu, Wilaya ya Kilwa

 

11 years ago

Habarileo

Ataka usawa wa jinsia kuwa Tunu ya Taifa

Magdalena RwebangiraMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Magdalena Rwebangira ametaka usawa wa jinsia kuwa sehemu ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya na kueleza kuwa maandalizi ya muundo wa serikali tatu bado ni hafifu kuweza kutumika nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani