Baada ya kuapishwa Rais, sasa tutafakari juu ya hekalu la Taifa letu la Tanzania
Baada ya kuapishwa Rais mpya wa awamu ya tano, Dk John Magufuli, kazi iliyobaki ni kulijenga taifa letu. Wengi wanategemea Dk Magufuli, kufanya miujiza. Hawezi kufanya chochote bila msaada wetu, bila ushiriki wa kila Mtanzania, awe wa CCM, upinzani au asiyekuwa na chama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Tegemeo letu sasa ni huyu rais ajaye
RAIS wangu wakati taifa linakutarajia urudi kwenye Bunge la Katiba ukatengue kauli yako iliyolivuruga Bunge na kusababisha UKAWA kuzaliwa, umeibuka na kuwataka viongozi wa dini wawaombee UKAWA. Kusisitiza kwao kuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/nPNu1QbaJ7w/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fO-4U_teXWE/XsizJlEi4OI/AAAAAAALrWg/A5M-MoH9hvsWI_wEovi04f5qTz5AQGf-wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bsimba.jpg)
BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA
ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.
Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Yuko wapi Esta wa Wayahudi Tanzania atakayeliokoa taifa letu ?
OKTOBA mwaka huu, kutafanyika Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaoshirikisha vyama vingi.
Fred Mpendazoe
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pFiylrrOYco/VKmLkZ3DyOI/AAAAAAAAEYM/Ih8nr9eo8GA/s72-c/MKCT_P2015.jpg)
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Taifa letu, fahari yetu
Na Waandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.
Akizungumza katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.
Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Masilahi ya Taifa letu ni yepi?