Tegemeo letu sasa ni huyu rais ajaye
RAIS wangu wakati taifa linakutarajia urudi kwenye Bunge la Katiba ukatengue kauli yako iliyolivuruga Bunge na kusababisha UKAWA kuzaliwa, umeibuka na kuwataka viongozi wa dini wawaombee UKAWA. Kusisitiza kwao kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wenger:Walcot ndio tegemeo letu
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Baada ya kuapishwa Rais, sasa tutafakari juu ya hekalu la Taifa letu la Tanzania
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kivuko cha MV Tegemeo kufanya safari za Maisome-Sengerema
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rsmi Kivuko cha Tegemeo tayari kuanza kufanya safari zake kati ya Kisiwa cha Maisome- Sengerema, wakati wa hafla ya uzinduzi wa kivuko hicho iliyofanyika Kijiji cha Kahunda Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza leo, Septemba 26, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya viongozi. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Vijimambo27 Sep
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUZ KIVUKO CHA MV TEGEMEO KUFANYA SAFARI ZA MAISOME-SENGEREMA.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-wNHQLCFZU_s%2FVCZasJcl2fI%2FAAAAAAADFkI%2Fz4Fta1-mA1E%2Fs1600%2F1..jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-YjynQYVJYdg%2FVCZaqYx6xeI%2FAAAAAAADFj0%2F1Vxvu9Ggt4o%2Fs1600%2F2..jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...
10 years ago
Habarileo09 Oct
‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’
MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Zigo la JK Kigoma kwa rais ajaye
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ8uDF5zpZ-0R46oQG1XThuXJiBccg6zTtcU11g3VGWsDZ3OdST76RTDp5rTuublqJ4EgfoXbPph4kcDLllyPklt/jakayakikwete1.jpg?width=650)
NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!