Zigo la JK Kigoma kwa rais ajaye
Mkoa wa Kigoma upo Magharibi ya Tanzania ikiwa ni mojawapo ya mikoa iliyobatizwa jina la ‘pembezoni’ kutokana na umaskini unaowakabili wakazi wake walio wengi, lakini pia kwa miaka mingi umekuwa na changamoto ya miundombinu mibovu ya barabara, usalama wa raia kutokana na ujambazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Magufuli amtishwa zigo waziri wa ujenzi ajaye
NA BAKARI KIMWANGA, KATAVI
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema ikiwa atafanikiwa kuchaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda Baraza la Mawaziri ambalo litatakiwa kufanya kazi zaidi yake.
Pia ametangaza kumpiga kitanzi Waziri wa Ujenzi atakayemteua alisema kuwa atatakiwa kwenda na kasi katika utendaji kuliko yeye.
Amesema ili kuhakikisha maendeleo ya kweli yanapatikana Serikali ya awamu ya tano chini yake, itakuwa na kazi ya kupeleka maendeleo...
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Kwa nini rais ajaye awe mwanamke
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
JK anazungumzia ujana rais ajaye kwa matendo au sura?
RAIS Jakaya Kikwete, siku chache zilizopita alikaririwa na vyombo vya habari kutoa kauli iliyotafsiriwa kwamba imewabeba vijana katika kinyang’anyiro kijacho cha kumtafuta rais wa awamu ya tano ya uongozi wa...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kibarua kizito cha kukuza uchumi kwa Rais ajaye
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Tujikumbushe mapendekezo ya kamati za Bunge maalumu yatakayovunja Muungano, changamoto kwa rais ajaye
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZP3-TuKZ4j4/ViKSeKIoqzI/AAAAAAABnVY/HwAo-JQIbSs/s72-c/IMG_3426.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAIPOKEA CCM KWA MIKONO MIWILI, WASEMA MAGUFULI NI RAIS AJAYE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZP3-TuKZ4j4/ViKSeKIoqzI/AAAAAAABnVY/HwAo-JQIbSs/s640/IMG_3426.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N4OFXUyGH8I/ViJyWRLai6I/AAAAAAABnT8/0T9IUSrEqag/s640/IMG_3650.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJ8S1nfzars/ViJyMWFwJjI/AAAAAAABnTs/cI5VWdnamrw/s640/IMG_3645.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E9z_Kmcoiig/ViJy8-SFKjI/AAAAAAABnUs/kisPwdLu3SE/s640/IMG_3729.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 May
JK amtwisha zigo Rais mpya
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...