JK amtwisha zigo Rais mpya
Mwanza. Wafanyakazi jana walimsomea Rais Jakaya Kiwete madai 11 wanayomtaka awatimizie kabla ya kumaliza muda wake Oktoba, lakini mkuu huyo wa nchi amesema ataishia pale atakapoweza na kumuachia mrithi wake kazi ya kushughulikia mengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Kocha Maximo amtwisha Nsajigwa zigo la Kagame
>Katika hali inayoonekana kuwa na hofu ya kuchafua rekodi yake mapema Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameikacha michuano ya Kagame kwa kumpa jukumu kocha wa timu ya vijana, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ kuhakikisha anarudi na ubingwa wa Kombe la Kagame.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4MifQqBCFvo/VM_0vGWJ2DI/AAAAAAADXQw/5skkkICgRy0/s72-c/ChannelOMVA_FA.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Zigo la JK Kigoma kwa rais ajaye
Mkoa wa Kigoma upo Magharibi ya Tanzania ikiwa ni mojawapo ya mikoa iliyobatizwa jina la ‘pembezoni’ kutokana na umaskini unaowakabili wakazi wake walio wengi, lakini pia kwa miaka mingi umekuwa na changamoto ya miundombinu mibovu ya barabara, usalama wa raia kutokana na ujambazi.
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvMzBJrRi72aBHDsvRURdL5bbPCtlp*p4h3Vp-jcQVviyoVd6-G75cxSAVm8XxlJHtkqAeCsUcqdWNqaClnyIzpp/ZITO.jpg)
ZITTO AMTWISHA MAGUFULI MAMBO 10
Mbunge Mteule wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe. Mbunge Mteule wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameelezea mambo 10 ambayo Rais Dk. John Magufuli, anapaswa kuyafanya ili kuweka misingi ya mabadiliko nchini. Moja ya mambo ambayo ameandika kwenye waraka wake jana, Zitto amemshauri Rais Dk. Magufuli kuweka wazi mikataba yote ya rasilimali za nchi. "Kuna wakati Thomas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Kikwete ampongeza Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hague Geingob
![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvA5P1HEqOo/VQ2pWczQhKI/AAAAAAAHL_4/MtmX5YVGqVQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Rais Kikwete ahudhuria sherehe za Kumuapisha Rais Mpya wa Msumbiji
![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cP7l80GWSFg/VLgutRBnw9I/AAAAAAAG9rg/Uim3yD6UtvQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--AbXjbZ8myo/VLgutSgjNCI/AAAAAAAG9rc/jQTRkAhAQko/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4C-_JPEIScc/VLgve4M5JVI/AAAAAAAG9rw/yXWzNVH4Ntg/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10