Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger:Walcot ndio tegemeo letu

Arsenal inaanza kampeni yake katika michuano ya vilabu bingwa Ulaya siku ya jumatano ikiwa itakabiliana na Dinamo Zagreb katika uwanja wa Stadio Maksimir.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Walcot asema hajakosana na Wenger

Theo Walcot anasema kuwa hajakosana na meneja Arsene Wenger na kuongezea kwamba bado hajaanza mazungumzo ya mkataba mpya

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcot Kusalia Arsenal

Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott anakaribia kuongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi mwaka wa 2019.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tegemeo letu sasa ni huyu rais ajaye

RAIS wangu wakati taifa linakutarajia urudi kwenye Bunge la Katiba ukatengue kauli yako iliyolivuruga Bunge na kusababisha UKAWA kuzaliwa, umeibuka na kuwataka viongozi wa dini wawaombee UKAWA. Kusisitiza kwao kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger adai Walcott ndiye tegemeo la Arsenal

Michuano ya vilabu bingwa Ulaya inaanza September 15 ambapo klabu ya Arsenal inaanza kwa kukabiliana na Dinamo Zagreb katika uwanja wa Stadio Maksimir siku ya Jumatano. Kocha wa timu hiyo Arsene Wenger amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kununua mshambuliaji mpya, lakini anasema kuwa anakiamini kikosi chake na kwamba Theo Walcott ndio jibu la safu yake ya […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Cavani na Suarez ndio tegemeo Uruguay

Kocha wa Uruguay awapigia upatu Luis Suarez na Edinson Cavani kungaa huko Brazil

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …

Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]

The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamwinda Theo Walcot

Kilabu ya Chelsea inaiangazia kwa karibu hali ya kandarasi ya mchezaji wa Chelsea Theo Walcot katika kilabu ya Arsenal

 

10 years ago

Michuzi

DKT BILALI AZINDUA Kivuko Kipya cha MV Tegemeo jijini Mwanza

 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa kivuko hicho kipya cha MV Tegemeo.

 Kivuko kipya na chakisasa cha MV Tegemeo kama kinavyoonekana, kimetengenezwa kama mfano wa Meli kutokana na huduma zake.

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akimuonesha Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal jinsi kivuko kipya cha MV Tegemeo kitakavyofanya kazi. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Mhandisi Marceline Magesa akimuonesha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kivuko cha MV Tegemeo kufanya safari za Maisome-Sengerema

1.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rsmi Kivuko cha Tegemeo tayari kuanza kufanya safari zake kati ya Kisiwa cha Maisome- Sengerema, wakati wa hafla ya uzinduzi wa kivuko hicho iliyofanyika Kijiji cha Kahunda Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza leo, Septemba 26, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya viongozi. (Picha na OMR).

2.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani