Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ataja changamoto za rais ajaye

IMGL2468

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.

Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.

Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mkapa ataja sifa za rais ajaye

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.

 

10 years ago

Mtanzania

Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye

Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....

 

10 years ago

Habarileo

Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredirick Sumaye.WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Tujikumbushe mapendekezo ya kamati za Bunge maalumu yatakayovunja Muungano, changamoto kwa rais ajaye

Ni kweli kwamba Bunge Maalumu lilitumia muda mwingi baada ya kumaliza kanuni kujadili sura ya kwanza na sura ya sita na kujiridhisha kumaliza suala la muundo wa muungano. Uhalisia ni mbali kabisa na ukweli huu, ili kuujadili muundo wa muungano kama msingi ilipasa sura ya kwanza, sita na kumi na tano kusomwa na kujadiliwa kwa pamoja (in tandem).

 

11 years ago

Mwananchi

Kenyatta ataja changamoto EAC

>Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema moja changamoto  zinazoikabili Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ni uchumi duni miongoni mwa nchi wanachama.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ataja changamoto za NGO kutegemea wafadhili

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaIDADI ya mashirika yasiyo ya kiserikali imeongezeka kutoka 3,000 mwaka 2001 hadi kufikia 6,427 Machi mwaka huu ambapo kati ya hayo mashirika 254 ni ya kimataifa.

 

9 years ago

StarTV

Prof. Lipumba ataja changamoto ya kulidhibiti Bunge

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Tanzania Bara Profesa Ibrahimu Lipumba amesema kitendo cha Rais John Magufuli kumteua Kassim Majaliwa Mbunge wa Luangwa kuwa Waziri Mkuu kimeonyesha kuwa hana mbia katika nafasi yake ya Urais.

Amesema Rais Magufuli ameonyesha wazi kuwa anahitaji kufanya kazi kwa ukaribu na mtu atakayefuata sheria na taratibu za nchi.

Akizungumza jijini Dar es salaam, Profesa Lipumba amesema, waziri mkuu ndiye kiongozi wa serikali bungeni hivyo Waziri Mkuu Kassim...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

JK azungumzia Rais ajaye


NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu: Rais ajaye atoke Zanzibar

ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanganyika Kusini Magharibi Mathew Mhagama amsema ili kuliunganisha Taifa la Tanzania kuwa moja ni vema Rais ajaye mwakani atoke Zanzibar na si vinginevyo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani