JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....
10 years ago
Habarileo26 Dec
Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye
WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Tujikumbushe mapendekezo ya kamati za Bunge maalumu yatakayovunja Muungano, changamoto kwa rais ajaye
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Kenyatta ataja changamoto EAC
11 years ago
Habarileo18 May
Waziri ataja changamoto za NGO kutegemea wafadhili
IDADI ya mashirika yasiyo ya kiserikali imeongezeka kutoka 3,000 mwaka 2001 hadi kufikia 6,427 Machi mwaka huu ambapo kati ya hayo mashirika 254 ni ya kimataifa.
9 years ago
StarTV20 Nov
Prof. Lipumba ataja changamoto ya kulidhibiti Bunge
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Tanzania Bara Profesa Ibrahimu Lipumba amesema kitendo cha Rais John Magufuli kumteua Kassim Majaliwa Mbunge wa Luangwa kuwa Waziri Mkuu kimeonyesha kuwa hana mbia katika nafasi yake ya Urais.
Amesema Rais Magufuli ameonyesha wazi kuwa anahitaji kufanya kazi kwa ukaribu na mtu atakayefuata sheria na taratibu za nchi.
Akizungumza jijini Dar es salaam, Profesa Lipumba amesema, waziri mkuu ndiye kiongozi wa serikali bungeni hivyo Waziri Mkuu Kassim...
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...
11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Askofu: Rais ajaye atoke Zanzibar
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanganyika Kusini Magharibi Mathew Mhagama amsema ili kuliunganisha Taifa la Tanzania kuwa moja ni vema Rais ajaye mwakani atoke Zanzibar na si vinginevyo....