Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
10 years ago
Habarileo26 Dec
Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye
WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-QC_lS4nfodE/VUdp7VUnhwI/AAAAAAAHVMI/P1nCiOzNFwk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...
10 years ago
Mwananchi07 May
Chifu Wanzagi: CCM isiibeze Ukawa
10 years ago
Habarileo08 Sep
Askofu azungumzia sifa za Rais ajaye
ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amezungumzia sifa za rais ajae na kusema haoni shida nchi ikipata rais kijana.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Warioba ataja sifa za rais 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EdUq_XkDLEU/VP2Hy4Q7ooI/AAAAAAAHJD0/7RslUvzdURc/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
membe mgeni rasmi katika sherehe za kumkumka Chifu Wanzagi wa Wazanaki kijijini Butiama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-EdUq_XkDLEU/VP2Hy4Q7ooI/AAAAAAAHJD0/7RslUvzdURc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MuOKhHJSssY/VP2HXs5EdOI/AAAAAAAHJDs/zNLrAzn3rYw/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s72-c/k1.jpg)
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7ruhR7Z9QY/U_hKwvzBrxI/AAAAAAAGBmA/msdYqRdUesY/s1600/k4.jpg)
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...