Warioba ataja sifa za rais 2015
>Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa dira ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kutaja sifa za rais anayefaa kuiongoza Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....
10 years ago
Habarileo26 Dec
Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye
WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTj1IaOug6K8PDOZOKE78W9kKjxDsBhArO5UyMmlNu3c1rygm-Va1OuGOK*kkxsT97Vy5*E4I4yhj0AnK87Wugi/pasua.jpg)
URAIS 2015: SIFA ZA RAIS TUNAYEMTAKA NYERERE ALIZITAJA
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZdAUAtjy4LQuyATBLoCebltba1THuKBJX9fVboqiG2RuMyDfScIGVgLmtEFWCXsQYF8Od64F5bxA6QDknVaKbKh/DIDA6.jpg?width=650)
MUME WA DIDA ATAJA SIFA ZA MKEWE MTARAJIWA
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2621644/highRes/944083/-/maxw/600/-/al5lyfz/-/lady+jaydee+picha.jpg)
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Sifa za anayeutaka kuwa rais wa Tanzania kipindi cha 2015-2020
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Warioba ataja wasaliti wa Nyerere
MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amedokeza kuwa kwa tabia na mwenendo wao, watawala wamemsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jaji Warioba amekemea...