Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sifa za anayeutaka kuwa rais wa Tanzania kipindi cha 2015-2020

Ndugu wasomaji wangu leo nimeona nirudi nyumbani baada ya kuzunguka kwenye chaguzi za nchi za watu wengine na mafunzo makuu kwa Tanzania. Mtakumbuka kuwa hapo nyuma nimeandika sana kuhusu chaguzi za nchi za Zambia, Afrika Kusini, Malawi, Nigeria na Uingereza na mafunzo kwa Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamisi Kigwangalla ni mmoja kati ya makada vijana wa chama tawala waliotangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Matukio matano ambayo yalitawala bunge la Tanzania 2015-2020

Bunge la 11 la Tanzania (2015-2020) linatamatishwa leo Jumanne Juni 19, huku likiwa limegawanya mitazamo ya wachambuzi wa masuala ya siasa.

 

5 years ago

CCM Blog

RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


1.0.          URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA

TAREHE

SHUGHULI/MAELEZO

1

15 – 30/06/2020

Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.

2

15 – 30/06/2020

Kutafuta wadhamini Mikoani.

VIKAO VYA UCHUJAJI

3

06 – 07/07/2020

...

 

10 years ago

Habarileo

Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredirick Sumaye.WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Sifa ya kidato cha nne kuwa Mbunge yapingwa

KAMATI nyingi za Bunge Maalumu la Katiba, zimekataa sifa ya elimu ya kidato cha nne, kuwa kigezo cha msingi cha mgombea ubunge, kwa madai kuwa inabagua wananchi kwa kuondoa haki yao ya kidemokrasia ya kuomba kupigiwa kura na kupiga kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba ataja sifa za rais 2015

>Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa dira ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kutaja sifa za rais anayefaa kuiongoza Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

Kipindi cha Reggae Time cha PRIDE FM.....Jumamosi Feb 7, 2015

Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio kutoka nchini Marekani
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Katika kipindi kilichomalizika leo, Februari 7, 2015 tumezungumzia kuhusu historia ya Hayati BOB MARLEY. Msanii maarufu zaidi wa Reggae duniani, ambaye siku ya jana ulimwengu ulikumbuka miaka 70 tangu kuzaliwa kwake
Karibu uungane nasi
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti...

 

10 years ago

Vijimambo

Kipindi cha Reggae Time cha PRIDE FM.....Jumamosi Feb 14, 2015

Mubelwa BandioKipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio kutoka nchini Marekani
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Katika kipindi kilichomalizika leo, Februari 14, 2015 tumezungumzia kuhusu siku ya wapendanao na kusikiliza nyimbo zilizogusia mahusiano kwa namna zote.
Karibu uungane nasi
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani