Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa Tanzania 2020: Matukio matano ambayo yalitawala bunge la Tanzania 2015-2020

Bunge la 11 la Tanzania (2015-2020) linatamatishwa leo Jumanne Juni 19, huku likiwa limegawanya mitazamo ya wachambuzi wa masuala ya siasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Majina matano yanayopigiwa upatu kuwania tiketi ya urais ya CCM Zanzibar

Rais wa sasa Dkt. Ali Mohamed Shein anamaliza miaka 10 ya kuiongoza Zanzibar, vyenye mamlaka ya ndani pekee.

 

5 years ago

Michuzi

Matukio katika picha: Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM.




Waziri wa Madini, Mhe. Doto Biteko akizungumza na washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020, unaoendelea katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,alipowasili kufungua Mkutano huo ambapo Tanzania inatarajia kuzindua cheti cha uhalisia ili kuwezesha usafirishaji wa Madini ya Bati.Naibu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Ndoto ya urais ya Membe imeota mbawa?

Je, Benard Membe ataweza kutafuna mfupa uliomshinda Mrema na Lowassa?

 

9 years ago

Press

Tanzania: Our next Commander in Chief, Dr John Pombe Magufuli, (2015-2020)

magufuli

Do we expect any positive impacts on the tourism sector?

few days has passed since the announcement of the winner of presidential chair of the United Republic of Tanzania by the retired Judge Damian Lubuva from National Electoral Commission (NEC) -Dr. John Pombe Magufuli won with 58.46% of the total valid votes.

On his side, Andrea Guzzoni, Country manager of Jovago Tanzania expresses his admiration of the entire electoral process which was undertaken in a peaceful environment.

“A Peaceful...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Nini mustakabali wa upinzani baada ya 'kifo' cha UKAWA?

Je, hatima ya uliokuwa muungano wa vyama vya upinzani UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) 'ulishazikwa rasmi'.

 

10 years ago

Mwananchi

Sifa za anayeutaka kuwa rais wa Tanzania kipindi cha 2015-2020

Ndugu wasomaji wangu leo nimeona nirudi nyumbani baada ya kuzunguka kwenye chaguzi za nchi za watu wengine na mafunzo makuu kwa Tanzania. Mtakumbuka kuwa hapo nyuma nimeandika sana kuhusu chaguzi za nchi za Zambia, Afrika Kusini, Malawi, Nigeria na Uingereza na mafunzo kwa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Wapinzani wakutana faragha na Rais Magufuli Ikulu Dar es Salaam

Rais Magufuli hakusalimiana kwa kupeana mikono badala yake kupeana miguu na ishara ya mikono kama njia ya kujikinga na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tanzania 2020: Chadema imepata nafasi kurudi katika umaarufu kuelekea uchaguzi mkuu?

Faini imewaepusha na mtego wa kupoteza uhuru,ubunge na sifa za kugombea uchaguzi ujao.

 

5 years ago

Michuzi

TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020

 MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Tundu Lissu  Na Said Mwishehe, Michuzi TV


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.

Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani