Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania: Our next Commander in Chief, Dr John Pombe Magufuli, (2015-2020)

magufuli

Do we expect any positive impacts on the tourism sector?

few days has passed since the announcement of the winner of presidential chair of the United Republic of Tanzania by the retired Judge Damian Lubuva from National Electoral Commission (NEC) -Dr. John Pombe Magufuli won with 58.46% of the total valid votes.

On his side, Andrea Guzzoni, Country manager of Jovago Tanzania expresses his admiration of the entire electoral process which was undertaken in a peaceful environment.

“A Peaceful...





Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015

Mhe Dk John Pombe Magufuli akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM 2015 huko Dodoma wakati akikubali ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kama mgombea wa uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015


 

9 years ago

Michuzi

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015

Mheshimiwa Spika;
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...

 

9 years ago

New Zealand Herald

John Pombe Magufuli sworn in as Tanzania's President


Channel News Asia
John Pombe Magufuli sworn in as Tanzania's President
New Zealand Herald
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) " John Pombe Magufuli was sworn in Thursday as the country's fifth president in a ceremony attended by several African heads of state but boycotted by the country's opposition which says the vote was rigged. Chief Justice ...
Dr Magufuli: People eargerly waiting for that promised changeDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Tanzania's new president, VP sworn...

 

10 years ago

Raia Mwema

9 years ago

CCM Blog

RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI

 Dk. John Pombe Magufuli akila kiapo cha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Jaji Mkuu Mhe. Mohamed Chande Othman kwenye sherehe fupi zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiinua mkuki na ngao juu mara baada ya kuapishwa kwenye uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

GPL

RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Mstaafu) Damian Zefrin Lubuva (kulia) akimkabidhi cheti chake cha ushindi Rais Mteule wa Tanzania, John Pombe Magufuli (katikati) huku mgombea mwenza wake Samia Hassan Suluhu akiwa nyuma yake katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar leo asubuhi. Mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu akipokea cheti chake cha ushindi toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: NEC YAMTANGAZA DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848...

 

9 years ago

Vijimambo

DK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA AWAMU YA TANO JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kulia), akimkabidhi cheti cha Urais Rais Mteule wa Tanzania Dk.John Magufuli katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam leo. Kushoto ni Makamu wa Rais Mteule, Samia Hassan Suluhu. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kulia), akimkabidhi cheti cha Makamu wa Rais, Samia Hassan Suluhu katika hafla hiyo.
 Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli (kulia),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani