Uchaguzi wa Tanzania 2020: Ndoto ya urais ya Membe imeota mbawa?
Je, Benard Membe ataweza kutafuna mfupa uliomshinda Mrema na Lowassa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake
Dar es Salaam. Kwa mtazamo wa wengi, ilionekana dhahiri kwamba Berbard Membe alikuwa miongoni mwa wanaCCM wenye nguvu kubwa walioomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais.
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Majina matano yanayopigiwa upatu kuwania tiketi ya urais ya CCM Zanzibar
Rais wa sasa Dkt. Ali Mohamed Shein anamaliza miaka 10 ya kuiongoza Zanzibar, vyenye mamlaka ya ndani pekee.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%252Bpic.jpg)
TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%252Bpic.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.
Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s200/HS.jpg)
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Matukio matano ambayo yalitawala bunge la Tanzania 2015-2020
Bunge la 11 la Tanzania (2015-2020) linatamatishwa leo Jumanne Juni 19, huku likiwa limegawanya mitazamo ya wachambuzi wa masuala ya siasa.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s72-c/Trump.jpg)
MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s640/Trump.jpg)
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s72-c/A1.jpg)
MATUKIO ZAIDI YA MH. MEMBE AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s640/A1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiusalimia umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. Picha na John Badi
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VzjSA6tslc/VXUI0_Y0xsI/AAAAAAADqWs/Dgz8iscOAB8/s640/B.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakiupungia umati wa wana CCM na wakazi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-emNtPZMU5QE/VXTLwfP88tI/AAAAAAAHc44/aIFqP-VTXeM/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
SIR GEORGE KAHAMA AMBARIKI MH. MEMBE KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-emNtPZMU5QE/VXTLwfP88tI/AAAAAAAHc44/aIFqP-VTXeM/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jHxKBM0nuwE/VXfCiHQd9zI/AAAAAAAAnGk/pQ7JwEElZos/s72-c/1.jpg)
MEMBE APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jHxKBM0nuwE/VXfCiHQd9zI/AAAAAAAAnGk/pQ7JwEElZos/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IgKHGIhov8Q/VXfCAcThgNI/AAAAAAAAnGU/v5GD2fzo3bA/s640/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania