URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake
Dar es Salaam. Kwa mtazamo wa wengi, ilionekana dhahiri kwamba Berbard Membe alikuwa miongoni mwa wanaCCM wenye nguvu kubwa walioomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitto: Bado nina ndoto ya urais
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Ndoto ya urais ya Membe imeota mbawa?
10 years ago
Vijimambo
ZIARA YA KINANA YADHIHIRISHA CCM BADO IPO IMARA MIKOA YA KUSINI
ZIARA YA KINANA MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAINGIZA WANACHAMA ZAIDI YA 40,000 CCM MKUTANO WA HADHARA MTWARA MJINI


10 years ago
Mtanzania08 Jun
Urais CCM kazi ipo
Na Waandishi Wetu
Membe: Hakuna anayenizidi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na ufisadi na rushwa kwa kuhakikisha sheria ya makosa ya rushwa inabadilishwa.
Akizungumza mjini Lindi jana, alisema ili nchi iweze kupiga hatua, akifanikiwa kuwa rais wa awamu ya tano, atabadili sheria ya kupambana na rushwa inayosema ‘mpokeaji na mtoaji wote wana...
5 years ago
CCM Blog
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS

Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Membe afunguka kuanguka urais CCM
11 years ago
Habarileo21 Feb
Membe apongeza CCM kuadhibu wasaka urais
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amepongeza hatua ya CCM kumpa onyo kali na kumweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja, kutokana na kubainika kuanza kampeni za urais kabla ya muda. Membe aliyeelezea sababu za kutokea kwa utovu huo wa nidhamu, amesifu utaratibu huo wa CCM kuadhibu makada wake kuwa ni sahihi na mfumo mzuri wa kutengeneza nidhamu ndani ya chama.
11 years ago
Mwananchi01 Sep
Membe: Bila kufuli la CCM pasingetosha urais 2015
11 years ago
KwanzaJamii02 Sep
MEMBE ASEMA, BILA CCM KUWATIA KUFULI PASINGETOSHA URAIS 2015