Membe afunguka kuanguka urais CCM
Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezungumzia kinyang’anyiro cha urais ndani ya CCM, akifananisha kushindwa kwake na kifo cha ghafla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s72-c/benard%2Bmembe.jpg)
Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s640/benard%2Bmembe.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Jaji Ramadhani afunguka uteuzi wa urais CCM
11 years ago
Habarileo21 Feb
Membe apongeza CCM kuadhibu wasaka urais
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amepongeza hatua ya CCM kumpa onyo kali na kumweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja, kutokana na kubainika kuanza kampeni za urais kabla ya muda. Membe aliyeelezea sababu za kutokea kwa utovu huo wa nidhamu, amesifu utaratibu huo wa CCM kuadhibu makada wake kuwa ni sahihi na mfumo mzuri wa kutengeneza nidhamu ndani ya chama.
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Membe: Bila kufuli la CCM pasingetosha urais 2015
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake
10 years ago
KwanzaJamii02 Sep
MEMBE ASEMA, BILA CCM KUWATIA KUFULI PASINGETOSHA URAIS 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Sa--f2lCuj4/VZLAOCNXS1I/AAAAAAADvD4/rkfPRdwkbm8/s72-c/1.jpg)
MEMBE ARUDISHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sa--f2lCuj4/VZLAOCNXS1I/AAAAAAADvD4/rkfPRdwkbm8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5eeEPsz30lk/VZLAPb6LwqI/AAAAAAADvEE/C547FIVfgyI/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CCM ijiandae kuanguka na Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), sasa ndiye anayekitesa chama chake kwa harakati zake ‘haramu’ za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Nasema harakati haramu kwakuwa chama chake...