Urais CCM kazi ipo
Na Waandishi Wetu
Membe: Hakuna anayenizidi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na ufisadi na rushwa kwa kuhakikisha sheria ya makosa ya rushwa inabadilishwa.
Akizungumza mjini Lindi jana, alisema ili nchi iweze kupiga hatua, akifanikiwa kuwa rais wa awamu ya tano, atabadili sheria ya kupambana na rushwa inayosema ‘mpokeaji na mtoaji wote wana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Dec
CCM, Ukawa kazi ipo
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji yaliyotangazwa na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, yameonyesha vyama vya upinzani vinazidi kuibana CCM katika maeneo ya mjini.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana, wapinzani wamepata asilimia 33 mijini na 19 vijijini.
Wakati hali ikiwa hivyo, CCM yenyewe imezidi kujiimarisha zaidi katika maeneo ya vijijini ambako imeibuka na ushindi wa asilimia 80.58.
Ushindi huo wa CCM, umekuwa...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kagasheki: CCM kazi ipo mwaka huu
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Kazi ipo CCM, Ukawa majimbo ya Chaani,Kijini, Mkwajuni, Nungwi na Tumbatu
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Urais CCM kazi pevu
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Wanaojinadi urais CCM wanafanya kazi ya bure
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Warioba: CCM ina kazi ngumu kumpata mgombea urais
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Azam, Simba kazi ipo
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Simba, JKT Ruvu kazi ipo Taifa
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba leo itakuwa na shughuli pevu ya kusaka ushindi itakapovaana na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni.
Simba itaingia dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa mabao 2-1 na Mbeya City kwenye mchezo uliopita uliofanyika Jumatano iliyopita, JKT Ruvu wao waliambulia sare ya bao 1-1 walipovaana na Mtibwa Sugar.
Kipigo dhidi ya Mbeya City kilipelekea...