Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagasheki: CCM kazi ipo mwaka huu

Hofu kuhusu nafasi ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao inazidi kuongezeka baada ya mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki kukitabiria chama hicho tawala “kazi kubwa”, akisema hali ya sasa “siyo ile iliyokuwa nayo miaka mitano iliyopita”.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA CCM KINAKABILIWA NA KAZI KUBWA YA KUHAKIKISHA KINASHIDA UCHAGUZI WA MWAKA HUU-BALOZI SEIF ALI IDDI.

Mke wa Mbunge wa Kitope Mama Asha Suleiman Iddi akiwanasihi wazazi kuendelea kuwaonyesha njia watoto wao wakati akizungumza kwenye mkutano wa ccm wa Matawi ya Kumbaurembo na Cairo katika Kijiji cha Kiwengwa ndani ya Jimbo la Kitope.Kulia ya Mama Asha ni Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akimjuilia Hali Muwasisi wa ASP na Muanzilishi wa CCM Bibi Fatma Suleriman Sio Katika Kijiji cha Kiwengwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Urais CCM kazi ipo

M????????Na Waandishi Wetu

Membe: Hakuna anayenizidi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na ufisadi na rushwa kwa kuhakikisha sheria ya makosa ya rushwa inabadilishwa.
Akizungumza mjini Lindi jana, alisema ili nchi iweze kupiga hatua, akifanikiwa kuwa rais wa awamu ya tano, atabadili sheria ya kupambana na rushwa inayosema ‘mpokeaji na mtoaji wote wana...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM, Ukawa kazi ipo

mtanzaniadaily.inddNa Ramadhan Hassan, Dodoma

MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji yaliyotangazwa na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, yameonyesha vyama vya upinzani vinazidi kuibana CCM katika maeneo ya mjini.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana, wapinzani wamepata asilimia 33 mijini na 19 vijijini.
Wakati hali ikiwa hivyo, CCM yenyewe imezidi kujiimarisha zaidi katika maeneo ya vijijini ambako imeibuka na ushindi wa asilimia 80.58.
Ushindi huo wa CCM, umekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kazi ipo CCM, Ukawa majimbo ya Chaani,Kijini, Mkwajuni, Nungwi na Tumbatu

Katika jimbo la Chaani hakuna shaka kuwa CCM ina nguvu ya kihistoria na imejijenga vilivyo. Jumla ya vyama vinne vilijitokeza ili kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 ikiwemo Chadema, CUF, Tadea na CCM

 

9 years ago

Bongo5

Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi

Weusi

Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.

Weusi

Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...

 

5 years ago

Michuzi

KESI YA ANAETUHUMIWA KUMUUA MSAIDIZ WAKE WA KAZI ZA NDANI YAPIGWA KALENDA HADI APRIL 8, MWAKA HUU

Na Jusline Marco-Arusha

Kesi namba 5,ya mwaka 2020 ya mauaji inayomkabili Mkami Shirima mwenye umri wa miaka 30,kwa kumuua Salome Zakaria mwenye umri wa miaka 18 ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani mnamo Machi 6 mwaka huu imeahirishwa Hadi tarehe 8 April mwaka huu.

Kwa upande wake wakili wa serikali Penina Joakimu  amesema kuwa kutokana na upelelezi kutokamilika ameiomba mahakama kupangiwa siku  nyingine.

Akizungumza hakimu mkazi mfawizi wa mahakama ya wilaya Arumeru,Amalia Mushi alisema kesi ...

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: CCM haitaruhusu wanunua urais kupenya uchaguzi mkuu wa mwaka huu

A

MTUME na Nabii wa Kanisa la EFATHA Josephat Mwingira akimlaki kwa furaha, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipowasili katika ukumbini, kutoa mada kuhusu nafasi ya CCM na uhusiano wa CCM katika jamii, kwnye semina ya wachungaji wa kanisa hilo wa ndani na nje ya Tanzania, inayoendelea Kibahaka mkoa wa Pwani. Watatu kulia ni Mama Eliakunda Mwingira.

AA

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa mada kwenye semina hiyo.

> . Asema wanapoteza muda na pesa zao

>. Awataka...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWAONGOZA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI JIMBO LA MAHONDA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KUWASHUKURU WANA CCM

Mgombea Nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Jimbo la Mahonda kwa tiketi ya CCM Balozi Seif Ali Iddi kwa niaba ya wagombea wenzake wa nafasi mbali mbali akiwashukuru wanachama wa CCM wa Matawi yaliyomo ndani ya Jimbo hilo katika Mikutano tofauti kwa kuwachaguwa katika kura za Maoni zilizopita mwezi Agosti mwaka huu.Wanachama wa CCM wa Tawi la Kitope “B” wakiwa katika Mikutano ya kupongezwa baada ya kuwachagua wagombea wao wa nafasi tofauti kwenye kura za Maoni.
Baadhi ya wanachama wa...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM imuunge mkono Katibu Mkuu - Kagasheki

>Mbunge wa Bukoba Mjini (CCM), Khamis Kagasheki amesema chama hicho, kitafanya kosa iwapo kitawachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya viongozi wanaopiga kelele kuhusu ufisadi na  kuwapo kwa baadhi ya mawaziri mizigo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani