Kazi ipo CCM, Ukawa majimbo ya Chaani,Kijini, Mkwajuni, Nungwi na Tumbatu
Katika jimbo la Chaani hakuna shaka kuwa CCM ina nguvu ya kihistoria na imejijenga vilivyo. Jumla ya vyama vinne vilijitokeza ili kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 ikiwemo Chadema, CUF, Tadea na CCM
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Dec
CCM, Ukawa kazi ipo
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji yaliyotangazwa na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, yameonyesha vyama vya upinzani vinazidi kuibana CCM katika maeneo ya mjini.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana, wapinzani wamepata asilimia 33 mijini na 19 vijijini.
Wakati hali ikiwa hivyo, CCM yenyewe imezidi kujiimarisha zaidi katika maeneo ya vijijini ambako imeibuka na ushindi wa asilimia 80.58.
Ushindi huo wa CCM, umekuwa...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Ipo hofu ya Ukawa kupoteza majimbo
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Urais CCM kazi ipo
Na Waandishi Wetu
Membe: Hakuna anayenizidi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na ufisadi na rushwa kwa kuhakikisha sheria ya makosa ya rushwa inabadilishwa.
Akizungumza mjini Lindi jana, alisema ili nchi iweze kupiga hatua, akifanikiwa kuwa rais wa awamu ya tano, atabadili sheria ya kupambana na rushwa inayosema ‘mpokeaji na mtoaji wote wana...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kagasheki: CCM kazi ipo mwaka huu
9 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM, Ukawa waporana majimbo
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Ukawa ilivyoipa CCM majimbo
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Ukawa wapinga ushindi wa CCM majimbo sita
10 years ago
Mwananchi13 May
KUELEKEA MAJIMBONI: Patachimbika CCM na Ukawa majimbo ya Mvomero na Kilombero
10 years ago
Mwananchi10 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : CCM ina kazi majimbo ya Buchosa, Sengerema na Ukerewe