Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ipo hofu ya Ukawa kupoteza majimbo

 Ilikuwa miaka, miezi, sasa zimesalia wiki tatu hivi au siku 23 kuelekea kibanda cha kupigia kura kuamua nani awe rais, mbunge na diwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi kwa asilimia 100 na hakuna chama chenye uhakika wa moja kwa moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kazi ipo CCM, Ukawa majimbo ya Chaani,Kijini, Mkwajuni, Nungwi na Tumbatu

Katika jimbo la Chaani hakuna shaka kuwa CCM ina nguvu ya kihistoria na imejijenga vilivyo. Jumla ya vyama vinne vilijitokeza ili kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 ikiwemo Chadema, CUF, Tadea na CCM

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM, Ukawa kazi ipo

mtanzaniadaily.inddNa Ramadhan Hassan, Dodoma

MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji yaliyotangazwa na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, yameonyesha vyama vya upinzani vinazidi kuibana CCM katika maeneo ya mjini.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana, wapinzani wamepata asilimia 33 mijini na 19 vijijini.
Wakati hali ikiwa hivyo, CCM yenyewe imezidi kujiimarisha zaidi katika maeneo ya vijijini ambako imeibuka na ushindi wa asilimia 80.58.
Ushindi huo wa CCM, umekuwa...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT ipo tayari kushirikiana na Ukawa

zito_kabweNa Bakari Kimwanga, Singida
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), kimesema kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kubomoa mfumo unaowanyonya wananchi
Kutokana na hali hiyo, kimewahakikishia Watanzania kuwa ujio wa chama hicho ni wa kuleta mageuzi ya kweli kwa taifa badala ya porojo kama vyama vingine vinavyofanya.
Akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Majimbo yawavuruga Ukawa

NA JONAS MUSHI NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

HALI si shwari ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuibuka na madai kuwa kuna vyama washirika vinavuruga umoja huo, na kwamba chama chao kinaweza kufa baada ya uchaguzi mkuu.

Ukawa ni umoja unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD ambavyo vimekubaliana kuungana katika uchaguzi mkuu na kusimamisha mgombea mmoja kwenye urais, ubunge na udiwani.

Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wagawana Majimbo 211

ukawaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMATI maalumu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), imekamilisha kazi ya ugawaji wa majimbo 211 ambayo ni sawa na asilimia 88 kati ya majimbo yote 239, imefahamika.
Wakati hayo yakiendelea, kamati hiyo imeshindwa kuafikiana katika majimbo 28 ambayo yanasubiri uamuzi wa wenyeviti wa vyama vinavyounda Ukawa, ambao watamaliza kiporo hicho mwezi huu.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa juu wa umoja huo, kutangaza mkakati wa kusimamisha mgombea mmoja wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo matano yavuruga Ukawa

Siku chache baada ya vyama vinavyounda Ukawa kutangaza mgawanyo wa majimbo, baadhi ya majimbo hayo yamekumbwa na sintofahamu baada ya wanachama kutokubaliana na uamuzi ya viongozi wa kuachiana majimbo.

 

9 years ago

GPL

MGAWANYO RASMI WA MAJIMBO YA UKAWA

Mara
Rorya CDM
Tarime Mjini CDM
Tarime Vijijini CDM
Musoma Vijijini CDM
Butiama CDM
Bunda Mjini CDM
Mwibara CDM
Musoma Mjini CDM
Bunda Vijijini CDM
Simiyu
Bariadi CDM
Maswa magharibi CDM
Maswa mashariki CDM
Kisesa CDM
Meatu CDM
Itilima CDM
Busega CUF
Shinyanga
Msalala CDM
Kahama Mjini CDM
Kahama Vijijini CDM
Shinyanga Mjini CDM
Kishapu CDM
Ushetu CDM
Mwanza
Ukerewe CDM
Magu CDM
Nyamagana CDM
Kwimba...

 

9 years ago

Mtanzania

Majimbo matatu yawavuruga Ukawa

kahangwaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.

Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.

Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani