Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali kupokwa hisa NBC

HISA za Serikali zilizoko katika benki ya NBC ziko hatarini kupokwa na wawekezaji wa kigeni endapo Serikali haitolipa deni la Sh bilioni 22 inazodaiwa na kampuni ya ABSA/Barclays ya Afrika Kusini ifikapo Machi mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

Ipo hofu ya Ukawa kupoteza majimbo

 Ilikuwa miaka, miezi, sasa zimesalia wiki tatu hivi au siku 23 kuelekea kibanda cha kupigia kura kuamua nani awe rais, mbunge na diwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi kwa asilimia 100 na hakuna chama chenye uhakika wa moja kwa moja.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchele wa Mbeya hatarini kupoteza soko

Wakati wafanyabiashara wengi wa mchele nchini wakiunadi wa Mbeya kwa ubora, hususan ule wa wilayani Kyela, wataalamu wa ubora wa vyakula wamesema uko hatarini kukosa soko la kimataifa kutokana na kupakwa mafuta.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kitulo hatarini kupoteza uzuri wake

UZURI wa Bustani ya Asili ya Kitulo upo hatarini kutoweka kutokana na uwepo wa mimea ya kigeni na

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania hatarini kupoteza soko la korosho duniani

Wakulima wa zao la korosho nchini wako hatarini kupoteza soko duniani kufuatia udanganyifu unaodaiwa kufanyika katika maghala ya kuhifadhi zao hilo wakati zikisubiri kusafirishwa kwenda nje.

 

10 years ago

Mtanzania

NBC hatarini kufilisiwa

NBCNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), ipo hatarini kufilisiwa kutokana na kushindwa kulipa deni la Sh bilioni 22.4 inazodaiwa na kundi la kibenki la Afrika Kusini la ABSA Group Limited.

ABSA kwa sasa inamiliki asilimia 55 ya hisa za benki hiyo na Serikali ikibakiwa na asilimia 30, huku asilimia nyingine 15 za hisa zikimilikiwa na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) kutoka World Bank Group.

Akizungumza jana katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi:Kenya ipo hatarini kushambuliwa

Balozi wa Marekani nchini Kenya amesema kuwa uchunguzi wao umebaini Kenya ipo katika hali ya hatari kubwa ya kushambuliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kupoteza mabilioni

SERIKALI imekiri kupoteza mabilioni ya fedha kila mwaka ambazo zinapaswa kulipwa kwa mujibu  wa  sheria na makampuni ya migodi nchini kama ushuru wa huduma kwa halmashauri  zinazozunguka migodi hiyo. Naibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yadaiwa kupoteza Dola 581

Serikali imedaiwa kupoteza Dola za Kimarekani 581 milioni kila mwaka kutokana na ununuzi wa dawa za virutubisho vya madini kwa watoto chini ya miaka mitano na wanawake nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani