Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yakiri kupoteza mabilioni

SERIKALI imekiri kupoteza mabilioni ya fedha kila mwaka ambazo zinapaswa kulipwa kwa mujibu  wa  sheria na makampuni ya migodi nchini kama ushuru wa huduma kwa halmashauri  zinazozunguka migodi hiyo. Naibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zitto: TRA ijieleze kupoteza mabilioni

>Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Zitto Kabwe ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kujieleza kwa kushindwa kesi hadi kupoteza Sh340 bilioni za kodi ya ongezeko la mtaji katika uchimbaji urani.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?

Bado najiuliza na sipati majibu kwamba, inakuwaje tuteketeze Sh100 bilioni kutengeneza Katiba Mpya ya wananchi inayotokana na maoni ya wananchi wakati watawala walishaweka msimamo wao?

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

Na, Winifrida Ndunguru

Dar Es Salaam.

15 December 2014

 

 

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

 

 

Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.

 

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri uhaba wa mitamba

SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri viongozi kusababisha migogoro

SERIKALI imekiri kuwapo kwa baadhi ya viongozi wa serikali ambao wamekuwa ni sehemu ya migogoro katika Wilaya ya Meatu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa, alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria

Serikali ya Nigeria imekiri makosa yaliyosababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri teknolojia ya BVR ‘kuchemsha’

Serikali imekiri kuwapo kwa upungufu katika uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo wa Teknolojia ya (BVR) wakati wa majaribio na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inayoratibu zoezi hilo kulirudia maeneo yote litakapoanza rasmi mapema mwakani.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakiri kutofikia malengo uzazi wa mpango

UZAZI wa mpango hadi sasa umefanikiwa kwa asilimia 27 tu, wakati lengo la Serikali kupitia utekelezaji wa Malengo ya Milenia (MDGs), ilikuwa ni kufikia asilimia 60 ifikapo mwaka 2015.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yakiri sheria ya ndoa ya 1971 haifai

DSC_0104

Mgeni Rasmi katika utambulisho wa kampeni ya kitaifa kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Anna Maembe,  akizungumza na waandishi wa habari umuhimu wa kufanyia marekebisho sheria ya ndoa ya mwaka 1971.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

.Wadau watambulisha kampeni ya kupambana tatizo la ndoa za utotoni

Na Mwandishi Wetu, MOblog Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imekiri kwamba Sheria ya Ndoa ya 1971 ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani