Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yakiri uhaba wa mitamba

SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

Na, Winifrida Ndunguru

Dar Es Salaam.

15 December 2014

 

 

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

 

 

Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.

 

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kupoteza mabilioni

SERIKALI imekiri kupoteza mabilioni ya fedha kila mwaka ambazo zinapaswa kulipwa kwa mujibu  wa  sheria na makampuni ya migodi nchini kama ushuru wa huduma kwa halmashauri  zinazozunguka migodi hiyo. Naibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri teknolojia ya BVR ‘kuchemsha’

Serikali imekiri kuwapo kwa upungufu katika uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo wa Teknolojia ya (BVR) wakati wa majaribio na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inayoratibu zoezi hilo kulirudia maeneo yote litakapoanza rasmi mapema mwakani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria

Serikali ya Nigeria imekiri makosa yaliyosababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri viongozi kusababisha migogoro

SERIKALI imekiri kuwapo kwa baadhi ya viongozi wa serikali ambao wamekuwa ni sehemu ya migogoro katika Wilaya ya Meatu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa, alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakiri kutolipa posho ya mazingira magumu

BUNGE limeelezwa kuwa fedha za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu, hawakupewa. Hatua hiyo imeelezwa kutokana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kubaini kuwa walimu walioripoti katika halmashahuri hizo miaka iliyopita hawakupatiwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa katika Bunge la Bajeti la 2013/14.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kuwepo mgogoro ranchi ya Kalambo

SERIKALI imekiri kuwepo kwa mgogoro kati ya wananchi wa Kijiji cha Katapulo na ranchi ya Kalambo, mkoani Rukwa. Hata hivyo, imesema iko katika mchakato wa kuhakikisha inamaliza migogoro hiyo hata...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakiri kutofikia malengo uzazi wa mpango

UZAZI wa mpango hadi sasa umefanikiwa kwa asilimia 27 tu, wakati lengo la Serikali kupitia utekelezaji wa Malengo ya Milenia (MDGs), ilikuwa ni kufikia asilimia 60 ifikapo mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri matumizi mabaya ya fedha zake

Serikali imekiri kuwa na nidhamu ‘mbovu’ katika matumizi ya fedha, jambo linaloyumbisha bajeti zake mara kwa mara

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani