Serikali yakiri kutofikia malengo uzazi wa mpango
UZAZI wa mpango hadi sasa umefanikiwa kwa asilimia 27 tu, wakati lengo la Serikali kupitia utekelezaji wa Malengo ya Milenia (MDGs), ilikuwa ni kufikia asilimia 60 ifikapo mwaka 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
9 years ago
Habarileo21 Oct
Wataka kipaumbele uzazi wa mpango
BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.
9 years ago
Habarileo05 Dec
Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango
JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango
WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.
10 years ago
Habarileo07 Aug
Kampeni uzazi wa mpango zahamia baa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya, wanatarajia kuendesha kampeni ya uhamasishaji wa uzazi wa mpango kwa jamii katika maeneo ya mabaa na vilabu vya pombe mkoani Kigoma.
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Njia ya uzazi wa mpango hatari India
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Dosari za kutumia uzazi wa mpango wa dharura
11 years ago
Habarileo23 May
Huduma za uzazi wa mpango zatengewa bil.3/-
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetenga kiasi cha Sh bilioni 3 katika bajeti ya fedha ya mwaka 2014/15 kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango.