Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka kipaumbele uzazi wa mpango

BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wataka huduma za jamii zipewe kipaumbele

BUNGE Maalumu la Katiba limeanza mjini Dodoma, ambapo wajumbe watajadili hoja mbalimbali. Kama zitapita, zitarudishwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura ya maoni na kuwa sheria za nchi (Katiba)....

 

9 years ago

Michuzi

Wizara ya Afya yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Donan Mmbando akieleza kuhusu Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele mbele ya Waandishi wa Habari leo 17 Desemba, 2015.Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Donan Mmbando akionyesha aina ya dawa zinazotakiwa kugawiwa kwa umma wakati alipotangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele mbele ya Waandishi wa Habari leo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee

wanaume nchini Tanzania wameamua kuwahama wake zao kama njia mbadala ya kupanga uzazi.

 

9 years ago

Habarileo

Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango

JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango hatari India

Njia ya upasuaji inayotumiwa na Wanawake kama njia ya uzazi wa mpango nchini humo yawa hatari

 

9 years ago

BBCSwahili

Vatican: Uzazi wa mpango suluhu ya mazingira

Cardinali mmoja , mshauri wa Papa Francis katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi ameiambia BBC kuwa mpango wa uzazi utasaidia upatikanaji wa athari za mabadiliko ya tabia nchi

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni uzazi wa mpango zahamia baa

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya, wanatarajia kuendesha kampeni ya uhamasishaji wa uzazi wa mpango kwa jamii katika maeneo ya mabaa na vilabu vya pombe mkoani Kigoma.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto watumia uzazi wa mpango shuleni

BAADHI ya watoto wa kike wanaosoma katika shule mbalimbali za sekondari katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wanakiri kutumia uzazi wa mpango wakihofia kukatiza masomo yao kwa kupata ujauzito wakiwa bado shuleni.

 

10 years ago

BBCSwahili

'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume

Wanasayansi wanadai kuwa dawa mpya liyozinduliwa ya mpango wa uzazi kwa wanaume imefanikiwa kwa asilimia 99.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani