Kampeni uzazi wa mpango zahamia baa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya, wanatarajia kuendesha kampeni ya uhamasishaji wa uzazi wa mpango kwa jamii katika maeneo ya mabaa na vilabu vya pombe mkoani Kigoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
WORLD LUNG FOUNDATION YAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UZAZI WA MPANGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qIlr-b0EHWw/VWQlIHQv75I/AAAAAAAHZ4s/-I1-iAKUF5s/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Wahamasishaji jamii kuongeza nguvu ya kampeni mpya ya uzazi wa mpango Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu (katikati) akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari,waganga wakuu wa wilaya mkoani Kigoma na wahamasishaji jamii kuhusu uzazi wa mpango ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uzazi wa mpango ijulikanayo thamini uhai Jitofautishe.
*Wahamsishaji jamii waliofuzwa watafanya kazi na kampeni ya Thamini Uhai kuhamasisha faida za uzazi wa mpango*
Mkutano na waandishi wa habari mkoani Kigoma umeainisha nafasi muhimu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P2HxPQXvcQ4/VAWiSlonlUI/AAAAAAAGbNg/YZpAkiBrEVs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Lady Jaydee aungana na Marie Stopes Tanzania kwenye kampeni ya uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2HxPQXvcQ4/VAWiSlonlUI/AAAAAAAGbNg/YZpAkiBrEVs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
9 years ago
Habarileo05 Dec
Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango
JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee
9 years ago
Habarileo21 Oct
Wataka kipaumbele uzazi wa mpango
BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Njia ya uzazi wa mpango hatari India
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Dosari za kutumia uzazi wa mpango wa dharura