Lady Jaydee aungana na Marie Stopes Tanzania kwenye kampeni ya uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2HxPQXvcQ4/VAWiSlonlUI/AAAAAAAGbNg/YZpAkiBrEVs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marie Stopes Tanzania (MST), Uller Muller (kulia) akikabidhi kisanduku chenye vifaa vinavyohusika na masuala ya uzazi wa mpango kwa Balozi mpya wa Marie Stopes ambaye pia ni msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady jaydee' katika hafla ya utiaji sahihi makubaliano hayo katika ofisi za MST, jijiji Dar es Salaam jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi ya uzazi mikoa ya minne
Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14 milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi uzazi mikoa ya minne
Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14 milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tskktoxdiA4/VCn95P0D8II/AAAAAAAGmko/tdOc78UTrmc/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MARIE STOPES TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA SERIKALI
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MARIE STOPES YAJIVUNIA UHUSIWANO WAKE NA SERIKALI
11 years ago
Daily News29 Jun
Marie Stopes commits to promote beauty pageant
Daily News
MARIE Stopes Tanzania has expressed its commitment in partnering with the Miss Chang'ombe competition because they believe in young women ability to achieve great things, both for themselves and for Tanzania. Speaking on behalf of Marie Stopes ...
10 years ago
TheCitizen01 Sep
LAKE ZONE: Marie Stopes opens new health facility
10 years ago
Habarileo07 Aug
Kampeni uzazi wa mpango zahamia baa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya, wanatarajia kuendesha kampeni ya uhamasishaji wa uzazi wa mpango kwa jamii katika maeneo ya mabaa na vilabu vya pombe mkoani Kigoma.
9 years ago
Bongo504 Dec
Lady Jaydee aongeza nguvu kwenye management yake
![12145332_1069487496425151_1766464638_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12145332_1069487496425151_1766464638_n-300x194.jpg)
Mwimbaji mkongwe, Judith Wambura aka Lady Jaydee ameongeza nguvu kwenye safu ya uongozi wake ili kujiweka vizuri zaidi katika muziki wake.
Akizungumza na Bongo5 leo, mmoja kati ya wanaounda uongozi huo, rapper Wakazi amesema amemwongeza Seven katika timu yake.
“Kwa upande wa uongozi wa Lady Jaydee siko peke yangu, nipo mimi na Seven naye anahusika kwenye uongozi. Lakini Lady Jaydee amepumzika na bado anaingia studio. Pia bado ngoma yake aliyofanya na Uhuru pamoja Mazet, ‘Give Me Love’...