Serikali kupokwa hisa NBC
HISA za Serikali zilizoko katika benki ya NBC ziko hatarini kupokwa na wawekezaji wa kigeni endapo Serikali haitolipa deni la Sh bilioni 22 inazodaiwa na kampuni ya ABSA/Barclays ya Afrika Kusini ifikapo Machi mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UWEKEZAJI: Serikali, Airtel wavutana hisa za TTCL
>Kumekuwa na mvutano mkali baina ya Serikali na Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel kuhusu hatima ya asilimia 35 ya hisa ambazo kampuni hiyo inamiliki ndani ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Serikali yanunua hisa zote za General Tyre
Serikali imesema sasa inamiliki kiwanda cha kutengeneza magurudumu ya magari cha General Tyre kwa asilimia 100 baada ya kununua hisa zote 26 zenye thamani ya Dola 1 milioni zilizokuwa zikimilikiwa na kampuni ya Continental AG.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Benki ya CRDB inatarajia kuuza Hisa zake katika Soko la Hisa la Nairobi, fursa ambayo itatoa wigo mpana zaidi wa biashara ya hisa za Benki hiyo katika soko la Afrika Mashariki.
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s72-c/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
Waziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s640/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ue0-2ib1FB0/VliDGkiTKRI/AAAAAAAIIqM/06nLNnuJBSA/s640/f5495cae-d0c8-49ec-bc5d-75a4d05ffd5d.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iOsVEQTLueY/VliDLYkZ82I/AAAAAAAIIqY/k7fiz8VGAh4/s640/8e109898-bfd6-415c-b13f-22fdbc4c8ea7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8NAlVNoATGA/Xk6BN7GdopI/AAAAAAALegY/S5shak_Y7-AmerO6CoSVOqsJvOPgZx53wCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
WATEJA WA NBC WAENDELEA KUIBUKA KIDEDEA KUPITIA AKAUNTI YA NBC MALENGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8NAlVNoATGA/Xk6BN7GdopI/AAAAAAALegY/S5shak_Y7-AmerO6CoSVOqsJvOPgZx53wCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tmTyar8yIIw/Xk6BOaT2WXI/AAAAAAALegc/ZL1fzOctwEYuj-p9WrfF6wKemiBEAFbIQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FwnoHlYjfLI/Xk5nRN7sXXI/AAAAAAALeeU/ywMyN6WqnTgh46ilqMqag5vSt48U3GbFACLcBGAsYHQ/s72-c/01-7.jpg)
WATEJA WA NBC WAENDELEA KUIBUKA KIDEDEA KUPITIA NBC MALENGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FwnoHlYjfLI/Xk5nRN7sXXI/AAAAAAALeeU/ywMyN6WqnTgh46ilqMqag5vSt48U3GbFACLcBGAsYHQ/s640/01-7.jpg)
11 years ago
MichuziBENKI YA NBC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NBC DIRECT
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania