Serikali yanunua hisa zote za General Tyre
Serikali imesema sasa inamiliki kiwanda cha kutengeneza magurudumu ya magari cha General Tyre kwa asilimia 100 baada ya kununua hisa zote 26 zenye thamani ya Dola 1 milioni zilizokuwa zikimilikiwa na kampuni ya Continental AG.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen22 Aug
Govt buys 26pc shares to retake General Tyre
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Serikali yanunua injini mpya 13
SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Serikali yanunua bunduki 500 za AK47 kukabili ujangili
9 years ago
MichuziSERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU
Serikali imenunua mashine mpya ya CT-Scan yenye thamani ya takriban dola za Marekani milioni 1.7 yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Serikali kupokwa hisa NBC
HISA za Serikali zilizoko katika benki ya NBC ziko hatarini kupokwa na wawekezaji wa kigeni endapo Serikali haitolipa deni la Sh bilioni 22 inazodaiwa na kampuni ya ABSA/Barclays ya Afrika Kusini ifikapo Machi mwakani.