Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania hatarini kupoteza soko la korosho duniani

Wakulima wa zao la korosho nchini wako hatarini kupoteza soko duniani kufuatia udanganyifu unaodaiwa kufanyika katika maghala ya kuhifadhi zao hilo wakati zikisubiri kusafirishwa kwenda nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mchele wa Mbeya hatarini kupoteza soko

Wakati wafanyabiashara wengi wa mchele nchini wakiunadi wa Mbeya kwa ubora, hususan ule wa wilayani Kyela, wataalamu wa ubora wa vyakula wamesema uko hatarini kukosa soko la kimataifa kutokana na kupakwa mafuta.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kitulo hatarini kupoteza uzuri wake

UZURI wa Bustani ya Asili ya Kitulo upo hatarini kutoweka kutokana na uwepo wa mimea ya kigeni na

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi soko la korosho

MGOMBEA wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema atalitafutia soko zao la korosho na kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani kama atachaguliwa kuwa Rais.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyabishara wa soko kuu la Singida mjini wako hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko!

DSC00155

Ghuba la kuhifadhia taka ngumu la soko kuu Singida mjini, likiwa limejaa taka na kutapika nje kitendo kinachohatarisha afya za wafanyabiashara wa soko hilo na wapitaji.(Picha  na Nathaniel Limu).

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.

Na Ismail NgayongaMFUKO wa wakfu wa kuendelezazao la Korosho nchini umetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vitatu vya kubangulia korosho vitakavyojengwa katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga.

Taasisi zitakazojenga viwanda hivyo ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kitivo cha Biashara na Chuo Kikuu  cha Ardhi (ARU).


Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho

1.

Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yaporomoka uzalishaji korosho Afrika

>Tanzania imeporomoka hadi nafasi ya tatu kwa uzalishaji wa korosho kwa nchi za Afrika kutokana na kukosa viwanda vya kubangulia zao hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kupoteza Sh1.6 trilioni za gesi

>Wakati Tanzania inaelezwa itapoteza zaidi ya Sh1.6 trilioni kila mwaka kwa mujibu wa mkataba unaoonyesha mgawanyo wa mapato yatokanayo na gesi asilia (PSA), Serikali imeutetea ikisema unalinufaisha Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani