Wafanyabishara wa soko kuu la Singida mjini wako hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko!
Ghuba la kuhifadhia taka ngumu la soko kuu Singida mjini, likiwa limejaa taka na kutapika nje kitendo kinachohatarisha afya za wafanyabiashara wa soko hilo na wapitaji.(Picha na Nathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.
Na Jumbe Ismailly, Ikungi
ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s72-c/3.jpg)
KINANA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA WA SOKO KUU SENGEREMA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1biuRIbPLKQ/VYe50MHnk3I/AAAAAAAAfME/AgmRRGurb98/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8Ty1NLFl8g/VYe53IGLmmI/AAAAAAAAfMQ/wzeQqXdj75E/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-45lCw0LtKts/VYe5wpk9IXI/AAAAAAAAfL4/IEI9hUumQZs/s1600/10.jpg)
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
9 years ago
Habarileo07 Nov
Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko
MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Buguruni wahofia magonjwa ya mlipuko
9 years ago
StarTV22 Nov
Watanzania hatarini kukumbwa na magonjwa yasioambukizwa
Serikali na wadau wa afya nchini wametakiwa kuleta jitihada za pamoja ili kuweza kuisaidia jamii kupata elimu ya kutosha kuhusu namna ya kukabiliana na kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile saratani,kisukari,moyo na pumu.
Watu wengi nchini wanakumbwa na magonjwa yasiyoambukiza kutokana na kuishi mtindo wa maisha usiofaa kiafya.
Magonjwa yasiyoambukiza ni magonjwa ambayo yapo ndani ya jamii maskini na tajiri lakini mapambano dhidi yake hayapewi kipaumbele cha kutosha kama...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Simu kutumika taarifa za magonjwa ya mlipuko