Watanzania hatarini kukumbwa na magonjwa yasioambukizwa
Serikali na wadau wa afya nchini wametakiwa kuleta jitihada za pamoja ili kuweza kuisaidia jamii kupata elimu ya kutosha kuhusu namna ya kukabiliana na kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile saratani,kisukari,moyo na pumu.
Watu wengi nchini wanakumbwa na magonjwa yasiyoambukiza kutokana na kuishi mtindo wa maisha usiofaa kiafya.
Magonjwa yasiyoambukiza ni magonjwa ambayo yapo ndani ya jamii maskini na tajiri lakini mapambano dhidi yake hayapewi kipaumbele cha kutosha kama...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.
Na Jumbe Ismailly, Ikungi
ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Bukombe hatarini kukumbwa na kipindupindu
WANANCHI wa eneo la soko la chakula la mji mdogo wa Ushirombo, wilayani Bukombe, Geita, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na dampo la taka kufurika. Diwani wa...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Wafanyabishara wa soko kuu la Singida mjini wako hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko!
Ghuba la kuhifadhia taka ngumu la soko kuu Singida mjini, likiwa limejaa taka na kutapika nje kitendo kinachohatarisha afya za wafanyabiashara wa soko hilo na wapitaji.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Vijimambo21 Feb
Afya za Watanzania hatarini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/seif-rashid-jan28-2014(3)(2)(1).jpg)
Hali afya za wtanzania zipo hatarini kutokana na kasi ya kuingizwa nchini dawa zisizofaa kwa tiba asilia, kutoka nchi kadhaa za bara hususani Korea Kaskazini.
Uchunguzi wa NIPASHE Jumamosi uliofanywa kwa zaidi ya miezi mitano, umebaini kuwa dawa hizo zinaingizwa na kuuzwa nchini pasipo kuwa na maelezo mahususi, huku taarifa nyingine zikithibitisha kuwa zina ujazo wa madini yanayoizidi kiwango kinachotambulika kwa afya za watu.
Chanzo kimojawapo cha gazeti hili...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507848/highRes/865465/-/maxw/600/-/5g85upz/-/daladala.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s72-c/1.jpg)
Watanzania waaswa kujitokeza katika harambee ya kuchangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0048.jpg)
WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0048.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dqZb8iGlfHA/Xljv8HfMIBI/AAAAAAAAIKc/yA3D2T6TEGE7WsW1kvGkqGtNgHtSQKcIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bU8SnVS4lxM/XljwF4ygvHI/AAAAAAAAIKg/9HhMgwHeZzoUlA0KvSHyMGfqBBxKzidSwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200228_131700_848.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...