Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO

Katibu Tawala wa wilaya ya Arusha David Mwakiposa akiongea kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa kwa wamiliki wa magari ya Unyonyaji wa Maji Taka kwenye ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Katibu Tawala Jiji la Arusha David Mwakiposa akimkabidhi vifaa vya kufanyiakazi ya Unyonyaji wa Maji Taka kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Sifael Silanga kwenye makabidhiano yaliofanyika kwa ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa ArushaNa Ahmed Mahmoud ArushaKatibu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO

  Afisa vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw.Godfrey Massawe akizungumza na wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa kabla ya kufunga mafunzo ya wawezeshaji hao leo Jijini Mwanza. Mwezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Bi. Virginia Chacha (kulia) akifanya mazoezi ya uwezeshaji kwa wawezeshaji wenzake kama njia mojawapo ya kupima uwezo wa wawezeshaji hao kabla ya kufunga Mafunzo ya Uwezeshaji leo Jijini MwanzaKaimu Katibu Tawala Mkoa...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE KUFUTA USAJILI WA MAKANISA YENYE MIGOGORO KWA LENGO LA KUEPUSHA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akizungumza na maelfu ya Waumini wa Karismatiki Katoliki, Jimbo la Dar es Salaam katika maombi maalumu kwa ajili ya kuliombea Taifa yaliyofanyika Kituo cha Karismatiki, Ubungo jijini Dar es Salaam. Waziri Chikawe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika maombi hayo aliyataka Makanisa nchini kudumisha amani na utulivu na kuendelea kuliombea Taifa na kuepuka kuingia katika migogoro mbalimbali ambayo itasababisha taifa kuingia katika uvunjifu amani...

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA BIMA.

Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora.
Jovina Bujulu-MAELEZOWATANZANIA theluthi mbili hawana ufahamu wa kutosha kuhusu namna Bima inavyofanya kazi nchini hasa Bima ya Maisha na Mali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora alipokuwa akifunga mafunzo ya wiki ya huduma kifedha na uwekezaji mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.
Kamuzora aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kueneza ujuzi na ufahamu waliopata ili wananchi walio wengi waweze kunufaika na huduma za bima...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watanzania watahimizwa kujitolea kutumia huduma ya NitafuteApp

nitafuteapp_login

Na Nyakongo Manyama- Maelezo

Shirika la Kimataifa linalofanya kazi kupitia Tume ya Taifa Tanzania dawati la vijana UNESCO imeanzisha huduma iitwayo NitafuteApp ili kuwezesha utafutaji, utambuzi, uokozi matibabu ya huduma ya kwanza kisaikolojia pamoja na utoaji taarifa wa watu waliopotea.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Mradi wa NitafuteApp Tryhone Elias amesema kuwa huduma hiyo ina lengo la kutafuta, kutambua na kutoa taarifa wa watu...

 

5 years ago

Michuzi

SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.


Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...

 

9 years ago

Mwananchi

Vitendea kazi ni muhimu kwa usafi wa mazingira

Tukio la juzi ambapo Tanzania iliadhimisha miaka 54 ya Uhuru kwa wananchi kufanya usafi wa mazingira, bila shaka litakuwa limeacha kumbukumbu ya kudumu katika nyoyo za wananchi wengi. Tukio hilo litabaki kuwa la kihistoria, kwani tumezoea utamaduni wa kuadhimisha sherehe za kitaifa kwa kufanya mambo mengi yasiyo ya lazima, huku zikitumika fedha nyingi ambazo zingeweza kuelekezwa katika shughuli za maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa


 Baahi ya Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ wakitandaza kifusi kwa kukiweka sawa katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumzaa na wananchi baada ya kumalizika kwa  zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini...

 

9 years ago

Mwananchi

Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ameziagiza manispaa za Dar es Salaam kuwachukulia hatua za kisheria makandarasi waliopewa  zabuni za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo ya jiji hilo na kushindwa kutekeleza wajibu wao.

 

9 years ago

Global Publishers

Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira

IMG_3011Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

IMG_3016Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani