WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0048.jpg)
Katibu Tawala wa wilaya ya Arusha David Mwakiposa akiongea kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa kwa wamiliki wa magari ya Unyonyaji wa Maji Taka kwenye ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Katibu Tawala Jiji la Arusha David Mwakiposa akimkabidhi vifaa vya kufanyiakazi ya Unyonyaji wa Maji Taka kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Sifael Silanga kwenye makabidhiano yaliofanyika kwa ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha
Na Ahmed Mahmoud ArushaKatibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s72-c/Pix%2B1.jpg)
VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s320/Pix%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Wv2rpi0lkk/VfeTAKv906I/AAAAAAAH434/8RZ2oGpmXfw/s640/Pix%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qx7vJDZvSto/VfeTDShWkDI/AAAAAAAH44A/9pcpMmHBN7I/s640/Pix%2B6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WAZIRI CHIKAWE KUFUTA USAJILI WA MAKANISA YENYE MIGOGORO KWA LENGO LA KUEPUSHA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s1600/unnamed+(7).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s72-c/_2.jpg)
WATANZANIA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA BIMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s640/_2.jpg)
Jovina Bujulu-MAELEZOWATANZANIA theluthi mbili hawana ufahamu wa kutosha kuhusu namna Bima inavyofanya kazi nchini hasa Bima ya Maisha na Mali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora alipokuwa akifunga mafunzo ya wiki ya huduma kifedha na uwekezaji mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.
Kamuzora aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kueneza ujuzi na ufahamu waliopata ili wananchi walio wengi waweze kunufaika na huduma za bima...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watanzania watahimizwa kujitolea kutumia huduma ya NitafuteApp
Na Nyakongo Manyama- Maelezo
Shirika la Kimataifa linalofanya kazi kupitia Tume ya Taifa Tanzania dawati la vijana UNESCO imeanzisha huduma iitwayo NitafuteApp ili kuwezesha utafutaji, utambuzi, uokozi matibabu ya huduma ya kwanza kisaikolojia pamoja na utoaji taarifa wa watu waliopotea.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Mradi wa NitafuteApp Tryhone Elias amesema kuwa huduma hiyo ina lengo la kutafuta, kutambua na kutoa taarifa wa watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200606_141353_252.jpg)
SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200606_141353_252.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rqIjIWlmqcw/XtuBVilK_LI/AAAAAAAAH9c/4mptZeLzG88dl51AffPZBbaV1noRIp-AwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200604_110247.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Vitendea kazi ni muhimu kwa usafi wa mazingira
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7BXWgr7OVqw/VojdvAeMUHI/AAAAAAAIQB8/Vu8zb962_HM/s72-c/3d7ebff8-f80d-4ee6-b63d-ac8abd6892ff.jpg)
Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-7BXWgr7OVqw/VojdvAeMUHI/AAAAAAAIQB8/Vu8zb962_HM/s640/3d7ebff8-f80d-4ee6-b63d-ac8abd6892ff.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_puTnAnS1ZM/VojdvT22yjI/AAAAAAAIQCA/QmyDnzeTWfU/s640/9e6e5d27-606d-4e8b-9b76-6c497ce98c0c.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...