WATANZANIA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA BIMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s72-c/_2.jpg)
Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora.
Jovina Bujulu-MAELEZOWATANZANIA theluthi mbili hawana ufahamu wa kutosha kuhusu namna Bima inavyofanya kazi nchini hasa Bima ya Maisha na Mali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora alipokuwa akifunga mafunzo ya wiki ya huduma kifedha na uwekezaji mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.
Kamuzora aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kueneza ujuzi na ufahamu waliopata ili wananchi walio wengi waweze kunufaika na huduma za bima...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Watanzania wahimizwa kukata bima za nyumba
WATANZANIA wameshauriwa kuweka kipaumbele katika ukataji wa bima, hasa za nyumba na kuacha kutumia fedha kwa mambo yasiyofaa. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Msemaji wa Kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rXuvavLoIb4/VK54QedsnKI/AAAAAAAG790/xQmWaJrn75I/s72-c/001.BIMAAFYA.jpg)
Jubilee Insurance kutumia M-PESA kuwawezesha mamilioni ya watanzania wenye kipato cha chini kujiunga na bima ya Afya
![](http://1.bp.blogspot.com/-rXuvavLoIb4/VK54QedsnKI/AAAAAAAG790/xQmWaJrn75I/s1600/001.BIMAAFYA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tSbge1RnWpQ2lInwXPvXYufvxIlEBNvYzhhe8MKeNYAfLmfe6t5RcdMf2rQedpAgiM7J9VSbQnB15yVeQ7FcbDf/001.BIMAAFYA.jpg?width=750)
JUBILEE INSURANCE KUTUMIA M-PESA KUWAWEZESHA MAMILIONI YA WATANZANIA WENYE KIPATO CHA CHINI KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watanzania watahimizwa kujitolea kutumia huduma ya NitafuteApp
Na Nyakongo Manyama- Maelezo
Shirika la Kimataifa linalofanya kazi kupitia Tume ya Taifa Tanzania dawati la vijana UNESCO imeanzisha huduma iitwayo NitafuteApp ili kuwezesha utafutaji, utambuzi, uokozi matibabu ya huduma ya kwanza kisaikolojia pamoja na utoaji taarifa wa watu waliopotea.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Mradi wa NitafuteApp Tryhone Elias amesema kuwa huduma hiyo ina lengo la kutafuta, kutambua na kutoa taarifa wa watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0048.jpg)
WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0048.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dqZb8iGlfHA/Xljv8HfMIBI/AAAAAAAAIKc/yA3D2T6TEGE7WsW1kvGkqGtNgHtSQKcIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bU8SnVS4lxM/XljwF4ygvHI/AAAAAAAAIKg/9HhMgwHeZzoUlA0KvSHyMGfqBBxKzidSwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200228_131700_848.jpg)
9 years ago
Habarileo14 Aug
Wahimizwa kutumia maktaba
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kutumia maktaba za umma kwa kuwa zipo kwa ajili yao na vizazi vyao.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
EAC kutumia bima moja
NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimekubaliana kuanza kutumia bima moja ya afya na bima za magari kwa wananchi wa nchi hizo kwa lengo kupambana na changamoto zinazoikabili jumuiya...
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Wahimizwa kutumia fursa za mikopo