Watanzania watahimizwa kujitolea kutumia huduma ya NitafuteApp
Na Nyakongo Manyama- Maelezo
Shirika la Kimataifa linalofanya kazi kupitia Tume ya Taifa Tanzania dawati la vijana UNESCO imeanzisha huduma iitwayo NitafuteApp ili kuwezesha utafutaji, utambuzi, uokozi matibabu ya huduma ya kwanza kisaikolojia pamoja na utoaji taarifa wa watu waliopotea.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Mradi wa NitafuteApp Tryhone Elias amesema kuwa huduma hiyo ina lengo la kutafuta, kutambua na kutoa taarifa wa watu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s72-c/_2.jpg)
WATANZANIA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA BIMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s640/_2.jpg)
Jovina Bujulu-MAELEZOWATANZANIA theluthi mbili hawana ufahamu wa kutosha kuhusu namna Bima inavyofanya kazi nchini hasa Bima ya Maisha na Mali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora alipokuwa akifunga mafunzo ya wiki ya huduma kifedha na uwekezaji mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.
Kamuzora aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kueneza ujuzi na ufahamu waliopata ili wananchi walio wengi waweze kunufaika na huduma za bima...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SVtddXXrbCE/Voppl-lonDI/AAAAAAAIQMc/yeKGgacgNLk/s72-c/download.jpg)
TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP
![](http://4.bp.blogspot.com/-SVtddXXrbCE/Voppl-lonDI/AAAAAAAIQMc/yeKGgacgNLk/s1600/download.jpg)
Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0048.jpg)
WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0048.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dqZb8iGlfHA/Xljv8HfMIBI/AAAAAAAAIKc/yA3D2T6TEGE7WsW1kvGkqGtNgHtSQKcIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bU8SnVS4lxM/XljwF4ygvHI/AAAAAAAAIKg/9HhMgwHeZzoUlA0KvSHyMGfqBBxKzidSwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200228_131700_848.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FvkvfvDg2TU/VZlsAwjZXhI/AAAAAAAHnJY/4kgrQXD5Ob8/s72-c/IMG-20150705-WA001.jpg)
Watanzania watakiwa kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvkvfvDg2TU/VZlsAwjZXhI/AAAAAAAHnJY/4kgrQXD5Ob8/s400/IMG-20150705-WA001.jpg)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali kusaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali.
Wito huo umetolewa leo na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam, Winfrida Lubanza wakati akizungumza na wanafalia wa Lyalamo.
Alisema jamii inapaswa kuwakumbuka na watoto wakuopo katika vituo hivyo kwani wanastahili kupata mahitaji muhimu ya kibinadamu kama ilivyo kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
UTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZXboBr1xgaE/VYvhdMIt-WI/AAAAAAAHj4g/1zMc6GyVqNo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
MichuziUTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA HAPA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s640/New%2BPicture.png)
UZINDUZI WA HUDUMA YA MAXMALIPO KWA KUTUMIA SIMU YA KIGANJANI