TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP
![](http://4.bp.blogspot.com/-SVtddXXrbCE/Voppl-lonDI/AAAAAAAIQMc/yeKGgacgNLk/s72-c/download.jpg)
Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii.TUME ya Taifa ya Tanzania UNESCO kupitia Dawati la Vijana imezindua huduma mpya ya Jamii iitwayo NitafuteApp.
Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TuO2WIgqfWg/VD6w4Xc2ZPI/AAAAAAAGquQ/r5LyQXhQOeM/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Bayport Tanzania yazindua huduma mpya ya Mikopo ya bidhaa
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
UAP Insurance Tanzania yazindua huduma zake mpya na tafrija fupi
Meneja madai wa kampuni ya Bima ya UAP Bw. Michael Emmanuel (kushoto) akiwa na Ally Athumani Meneja Uandikishaji wa UAP wakati wa utambulisho wa huduma hizo mpya walizo zindua za UAP JIKINGE na UAP FAMILY KINGA (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Kampuni ya Bima ya UAP Tanzania, wamekuja na huduma mpya mbili za Bima kwa watu wote ambayo itaboresha maisha ya wateja wake ikiwemo katika huduma za matibabu mbalimbali nchini.
Huduma...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).
Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watanzania watahimizwa kujitolea kutumia huduma ya NitafuteApp
Na Nyakongo Manyama- Maelezo
Shirika la Kimataifa linalofanya kazi kupitia Tume ya Taifa Tanzania dawati la vijana UNESCO imeanzisha huduma iitwayo NitafuteApp ili kuwezesha utafutaji, utambuzi, uokozi matibabu ya huduma ya kwanza kisaikolojia pamoja na utoaji taarifa wa watu waliopotea.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Mradi wa NitafuteApp Tryhone Elias amesema kuwa huduma hiyo ina lengo la kutafuta, kutambua na kutoa taarifa wa watu...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Airtel yazindua huduma mpya
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza rasmi huduma ya kisasa ya kifedha kupitia huduma ya Airtel Money. Huduma hiyo mpya ya kibunifu itatoa uzoefu tofauti wa huduma za...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Bayport yazindua huduma mpya
TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania imezindua huduma mpya ya mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na...
11 years ago
Mwananchi03 May
Tanesco yazindua huduma mpya ya malipo
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Google yazindua huduma mpya ya simu
9 years ago
MichuziBayport yazindua huduma mpya ya Jibayportphonishe
Na Mwandishi Wetu, Dar es...