Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UAP Insurance Tanzania yazindua huduma zake mpya na tafrija fupi

DSC_1898Meneja madai wa kampuni ya Bima ya UAP Bw. Michael Emmanuel (kushoto) akiwa na  Ally Athumani Meneja Uandikishaji wa UAP wakati wa utambulisho wa huduma hizo mpya walizo zindua za UAP  JIKINGE  na  UAP FAMILY KINGA  (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam). Kampuni ya Bima ya UAP   Tanzania,  wamekuja na huduma mpya  mbili za Bima kwa watu wote ambayo itaboresha maisha ya wateja wake ikiwemo katika huduma za matibabu mbalimbali nchini.

Huduma...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

UAP Insurance Tanzania launching two new products:UAP JIKINGE & UAP FAMILY KINGA

DSC_1783Catherine Joshua Assistant Claims Manager  UAP Insurance Tanzania (cnt) during the conference with media (not in picture). message about  the launch of their two products UAP Jikinge and UAP Family Kinga. In (left) Mr. Raymond Komanga Business Development Manager UAP and  Right is Michael Itimu Kiruti General Manager Operations  UAP. 

Dar es Salaam, Today UAP Tanzania one of the leading Insurance Company announces the launch of their two products namely, UAP Jikinge and UAP Family Kinga....

 

10 years ago

Dewji Blog

“UAP Tanzania: launching its two new products-UAP JIKINGE na UAP FAMILY KINGA

DSC_1783Catherine Joshua Assistant Claims Manager  UAP Insurance Tanzania (cnt) during the conference with media (not in picture). message about  the launch of their two products UAP Jikinge and UAP Family Kinga. In (left) Mr. Raymond Komanga Business Development Manager UAP and  Right is Michael Itimu Kiruti General Manager Operations  UAP. 

Dar es Salaam, Today UAP Tanzania one of the leading Insurance Company announces the launch of their two products namely, UAP Jikinge and UAP Family Kinga....

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Tanzania yazindua huduma mpya ya Mikopo ya bidhaa

Na Andrew ChaleTaasisi ya kifedha ya Bayport Tanzania mapema leo Oktoba 15, 2014 imezindua huduma mpya ijulikanayo kama Mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wote wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport. Uzinduzi huo ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya Bayport, maeneo ya Moroco jijini Dar es Salaam mbele ya wandishi wa vyombo mbalimbali vya habari umeonyesha matumaini mapya ya watanzania wanaosumbukia usafiri katika vituo...

 

9 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP

Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii.TUME ya Taifa ya Tanzania UNESCO kupitia Dawati la Vijana imezindua huduma mpya ya Jamii iitwayo NitafuteApp.
Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani

Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).

Untitled

Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.

Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...

 

10 years ago

Vijimambo

*MAMA SALMA KIKWETE AWAANDALIA TAFRIJA YA MWAKA MPYA WENZA WA MABALOZI WA NJE WALIOPO TANZANIA

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa Ikulu leo kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania.Baadhi ya wageni waalikwa wakiongozwa na Mke wa Makamu wa Rais Mama Zakhia Bilal (wa kwanza kushoto) wakisikiliza hotuba ya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati wa tarfija ya mwaka mpya aliyowaandalia wenza wa mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bayport yazindua huduma mpya

TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania imezindua huduma mpya ya mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua huduma mpya

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza rasmi huduma ya kisasa ya kifedha kupitia huduma ya Airtel Money. Huduma hiyo mpya ya kibunifu itatoa uzoefu tofauti wa huduma za...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SWITCHON

Wasanii wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo,Vanessa Mdee,Nay wa Mitego na Barnaba wakishilikiana kuimba wimbo maalubu uliyotumika kwenye tangazo jipya katika kufanikisha zoezi la uzinduzi huo. Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kushoto), akimkabizi mmoja wa wadau aliyebahatika kujishindia simu mahali hapo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani